jamani this is too personal issue tuacheni unafiki kabisa yaani naomba tu mleta mada uniambie kutoka moyoni hujatomb..a na zaidi ya mwanaume mmoja toka maishani mwako?? au ndio unachungulia maisha ya watu? hili linahusianaje na kuwawakilisha wananchi wake jimboni mwake na dr slaa kaingiaje hapa? kama sio udaku na wivu? nahisi kuna wivu ndani yake serious, Aliyemsafi na aanze kumtupia jiwe yule mwanamke mzinzi nani alisubutu kurusha jiwe? chezea kabisa watu mnayafanya usiku kwa sababu hayaonekani, mfano mungu akiamua kuwaumbua kwa kila mwanaume au mwanamke uliemto..a na aliyekuto..a jina litokee usoni hakika nyuso za watu zingekuwa ni full maandishi na hata ngozi yako hatuioni na sijui ungekuwa na maandishi mangapi? ebu tujadili vitu vya maana kuliko kufikiria vitu ambavyo havileti tija.