Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 752
Waswahili wanasema hata mbuyu ulianza kama mchicha.
Maisha mazuri waliyonayo mastaa hawa leo hii, hayakupatikana ndani ya siku,mwezi ama mwaka mmoja. Ni safari ndefu iliyokuwa na kila aina ya vikwazo na kukata tamaa.
Juhudi na vipaji vyao ndivyo vilivyowafanya leo hii wawe soga za mjini na waonekane wakingaa.LAKINI TUSISAHAU KUWA BAADHI YAO WANAPENDEZA KWA KUJIUZA MITANDAONI
Hizi ni picha zinazowaonesha kabla hawajatoboa na kuwa nyota wa muziki.
1.Joseph Mbilinyi, mbunge wa Mbeya mjini na msanii wa Hip hop
2.Rehema Chalamila aka Ray C
3. Linah Sanga
4.Ambwene Yessaya aka AY
5. Diamond
6.Juacali na Nonini
Maisha mazuri waliyonayo mastaa hawa leo hii, hayakupatikana ndani ya siku,mwezi ama mwaka mmoja. Ni safari ndefu iliyokuwa na kila aina ya vikwazo na kukata tamaa.
Juhudi na vipaji vyao ndivyo vilivyowafanya leo hii wawe soga za mjini na waonekane wakingaa.LAKINI TUSISAHAU KUWA BAADHI YAO WANAPENDEZA KWA KUJIUZA MITANDAONI
Hizi ni picha zinazowaonesha kabla hawajatoboa na kuwa nyota wa muziki.
1.Joseph Mbilinyi, mbunge wa Mbeya mjini na msanii wa Hip hop
2.Rehema Chalamila aka Ray C
3. Linah Sanga
4.Ambwene Yessaya aka AY
5. Diamond
6.Juacali na Nonini