Danyel mweusi
Member
- Nov 17, 2012
- 81
- 19
Halafu huyu dada ni mshamba jamani! Halafu Hana appearence ya kicelebrity hata chembe! Tunamshukuru tu kwa kutuburudisha na nyimbo zake coz kuimba anajua but mwonekano 0Linah alianza kuzeeka kabla hajawa kijana.
Daaht AY alikuwa kama muuza maji
Kaliaanza mapenzi toka kana 12 years bikra ipi ya 0754 au 0713?
huyu linah sanga ndio nani tena?