Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hali ndio kama mnavyoiona
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atakutana na Sugu baada ya siku chacheSiku hizi trump hajali upuuzi wa wafrica!
Karibu sanaSawa
Zelenseky mshirika wao kafukuzwa kama paka sugu mla rushwa ndio hata eneo la ikulu hatolionaAtakutana na Sugu baada ya siku chache
Usiondoke JF kwa taarifa za uhakikaZelenseky mshirika wao kafukuzwa kama paka sugu mla rushwa ndio hata eneo la ikulu hatoliona
Taarifa za uhakika atakua kesharudi mwanjela sokoni!Usiondoke JF kwa taarifa za uhakika
Vijana wa ccm mnashangaa hizi koneksheni wengine wanatoa wapi wakati nyie mnaishia kuvishwa fulana za Mama ongea na Mwanao na kofia za KizimkaziTaarifa za uhakika atakua kesharudi mwanjela sokoni!
Unaambiwa kimenuka si masiharaNaam asambaze hasa
UCHAWA MWINGINE MPAKA AIBU SUGU KAENDA KWA BIASHARA ZAKE WALA HANA MPANGO NA CHADEMA SIKUHIZI WALA HAKUNA SEHEMU ANAONGELEA CHADEMA SASA WEWE UNAKUJA KUJAMBIA JUKWAA LETU ATI KAENDA KUTANGAZA NO REFORM NO ELECTION HAPO ALIPOANDIKA UNAONA KUNA SEHEMU KAZUNGUMZIA HIZO REFORM ZA KICHAA WENU LISSU? MNACHEKESHA MPAKA AIBU
kama unajua kusoma nisomee maandishi hayaUCHAWA MWINGINE MPAKA AIBU SUGU KAENDA KWA BIASHARA ZAKE WALA HANA MPANGO NA CHADEMA SIKUHIZI WALA HAKUNA SEHEMU ANAONGELEA CHADEMA SASA WEWE UNAKUJA KUJAMBIA JUKWAA LETU ATI KAENDA KUTANGAZA NO REFORM NO ELECTION HAPO ALIPOANDIKA UNAONA KUNA SEHEMU KAZUNGUMZIA HIZO REFORM ZA KICHAA WENU LISSU? MNACHEKESHA MPAKA AIBU
kweli eeh!Vijana wa ccm mnashangaa hizi koneksheni wengine wanatoa wapi wakati nyie mnaishia kuvishwa fulana za Mama ongea na Mwanao na kofia za Kizimkazi
Halafu hizo fulana mnazopewa ukifua mara 1 tu imerepweteka hadi kola kufika kwenye magoti!kweli eeh!
Weeee!!!Ila sugu sijawahi kumuelewa..!!
Kabisaa..!! 😹Weeee!!!