Administer
JF-Expert Member
- Feb 9, 2020
- 1,271
- 1,604
CHADEMA INAONGOZWA NA WASIOKUWA NA MAARIFA YA SIASA.UTAPELI MWINGI WA KISIASAUCHAWA MWINGINE MPAKA AIBU SUGU KAENDA KWA BIASHARA ZAKE WALA HANA MPANGO NA CHADEMA SIKUHIZI WALA HAKUNA SEHEMU ANAONGELEA CHADEMA SASA WEWE UNAKUJA KUJAMBIA JUKWAA LETU ATI KAENDA KUTANGAZA NO REFORM NO ELECTION HAPO ALIPOANDIKA UNAONA KUNA SEHEMU KAZUNGUMZIA HIZO REFORM ZA KICHAA WENU LISSU? MNACHEKESHA MPAKA AIBU
Utapeli upi unaozidi ule wa kugawa majiko yenye picha?CHADEMA INAONGOZWA NA WASIOKUWA NA MAARIFA YA SIASA.UTAPELI MWINGI WA KISIASA
Vibaka na matapeli wa kisiasa.Utapeli upi unaozidi ule wa kugawa majiko yenye picha?
HayaNi ni in
Vibaka na matapeli wa kisiasa.
Asante kwa TaarifaSugu anasubiri anguko la Lisu. tangu Mbowe ashindwe Sungu amekosa raha kabisaaa.
Na itakuwa vigumu zaidi kwa hapo ulipo na huko unakoelekea.Ila sugu sijawahi kumuelewa..!!
Hawa jamaa dunia nzima itawatambua😅😅
Wamepora title tumebaki na Respect😅😅😅
Hakuna mwanasiasa hapo kuna risk taker tu..Weeee!!!
Aisee wao kila siku ni kumpongeza mama.Vijana wa ccm mnashangaa hizi koneksheni wengine wanatoa wapi wakati nyie mnaishia kuvishwa fulana za Mama ongea na Mwanao na kofia za Kizimkazi
Anapotezea mfikiri yupo nanyi…
Juma lokole kasemaje leoCHADEMA INAONGOZWA NA WASIOKUWA NA MAARIFA YA SIASA.UTAPELI MWINGI WA KISIASA
UNATIA HADI AIBU WE MAMA HIYO NI CONECTION YA AJABU KWELI?Vijana wa ccm mnashangaa hizi koneksheni wengine wanatoa wapi wakati nyie mnaishia kuvishwa fulana za Mama ongea na Mwanao na kofia za Kizimkazi