Sugu (vinega), hebu fanya na hili kuonyesha usugu wako.

LEGE

JF-Expert Member
Joined
Oct 14, 2011
Posts
5,122
Reaction score
9,209
Nilikuwa napenda kutoa ushauri wa bule kwa muasisi wa muziki wa kizazi kipya SUGU.
Kwa kuwa lile tamasha lako ulifanikiwa hebu fanya mpango wa haraka wa kuhuzulia mazishi ya mr EBO na 2-uandae tamasha la kumuaga mr ebo.
Ili uonyeshe usugu na ukongwe wako ktk fan hii na cyo kama wengi wanavyofanya juhud za kukuharibia ili uonekane mhuni.

Ukiwezekana 2nga na song kbs na kama utafanya tamasha chapisha na t-shirt kbs na fedha za mauzo ya t-shirt hz inapewa familia ya marehem
 
 
 
0716627344 mtwangie sugu kwenye tigo yake hiyo..
 
Umshauri we sheikh yahaya acheni mambo yenu nyie watu wa mawingu maza fanta
 
Pesa za shoo nani atachukuwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…