Sugu vis lukuvi

Amina Thomas

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2008
Posts
272
Reaction score
130
Jana nilikaa na msanii ambae alikua anampa siri kwamba eti mh! Lukuvi amepanga kumtosa mh. Sugu kwenye tamasha la kesho kutwa ili amkomoe! Anasema amepata habari toka kwa chanzo cha kuaminika kua lukuvi atamtia aibu sugu kwa kuomba udhuru katika dakika za mwisho ili amtie aibu. mwenye uhakika na hii hila naomba atujuze mapema.
 
akichomoa dakika za mwisho atakuwa amejiabisha mwenyewe maana mtu mwenye akili timamu anajua maana ya muda pamoja na appointment! hivyo tutamuona mjinga maana anatakiwa atoe taarifa mapema juu ya kutofika kwake! ingawa huwa kuna dharula ambazo haziepukiki kama ugonjwa, kufiwa, maafa n.k na kila sababu inapimwa kwa uzito wake! ina maana Lukuvi ana anticipate hayo?! sidhani, nadhani unajaribu kutengeneza hisia zako!
 





hisia zangu kivipi? Mimi nimesikia ndo mana nasema ni tetesi ingawa ikitokea itaniuma sana. Ni kweli muheshimiwa atajidharaulisha yeye na si sugu!
 
With Lukuvi anything is possible. The guy is slippery and malicious to the extreme!
 
Lukuvi kweni ana umuhimu gani? si bora angekuwa Dr wa ukweli?
 
Kama akipata udhuru atoe taarifa mapema ozawise hatutamuelewa
 
Kwani sugu hukuwa na watu wengine wenye heshima zaidi ya LUKUVI?! kwa kumbukumbu zangu huyu Bwana Lukuvi ana Historia ya UFISADI WA ELIMU na sina kumbukumbu ya kukanusha kwake nikirejea kwenye taarifa ya Msema kweli Keinerugaba! Mr. Sugu, jijengee heshima tafuta wenye staha! watanzania tunazo kumbukumbu yakinifu. By the way huyu bwana lukuvi ni mpinga wapenda mabadiliko maana tunamshuhudia Bungeni!
 
Lukuvi ni nani mpaka Sugu aaibike,mara ngapi watu wametoa udhuru na hakuna kilichoharibika. Namheshimu kama kiongozi lakini Sio dj,sio msanii ,asipokuwepo si anapewa mtu mwingine ugeni wa heshima kwa niaba yake. His absence is insginificant with respect to the concert. Hakuna shabiki anayelipa hela kwenda kumuona Lukuvi.
 
Lukuvi?bora nikae zangu kona bar nilewe kuliko kuja huko kumbe mgeni rasmi ni lukuvi..aghjjj
 
Lukuvi ni fisadi mwingine, aliiba hela za mradi wa mabasi ya wanafunzi Dar!! Alitakiwa kuwa amefungwa segerea huyu mwizi!
 

Kwani lukuvi nae ni msanii ? pili kwa tamasha hilo wa muhimu ni anaehusika na swala zima la uchakachuaji wa record na si waziri wa sera na bunge. hebu tuache uongo? sugu wa kwake Nchimbi tu
 
Lukuvi hawazi kuhudhuria matamasha ya wahuni.
 
Lukuvi hajaalikwea katika uzinduzi wa leo, mgeni rasmi ni Mh. Emmanuel Nchimbi, waziri wa habari utamaduni na michezo!
 
Kwani wasanii wetu wanawajua viongoz wao?ingawa wanawapigia kampeni,ila ukiwaambia wataje mawazir wa 5 na wizara zao,wanakimbia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…