Sugu yupo Chadema kisanii na ni msanii, kifupi Sugu ni mnafiki

Sugu yupo Chadema kisanii na ni msanii, kifupi Sugu ni mnafiki

Li ngunda ngali

JF-Expert Member
Joined
Jun 22, 2023
Posts
707
Reaction score
2,572
Wengi mnaweza kudhani ni Wenje pekee ndiye msanii sanii kwenye kile Chama jambo ambalo si kweli kabisa.

Yupo mdau mwenzake kwenye uga huo al-maarufu kwa majina Joseph Mbilinya a.k.a Sugu. Mwamba huyo maisha yake yote si ya uhalisia hata kidogo pale Chadema. Muda wote yeye ni mnafiki na mfitini kwa kiwango cha lami ngumu.

Sugu, muda wote yeye ni kujipendekeza kwa Mbowe kwa maslahi yake binafsi na hawezi abadani kumkosoa Mbowe hata kama wazi ni shuhuda wa jambo lisilo sawa litendwalo na Mbowe. Hukaa kimya kutetea ugali wake.

Ndumila-kuwili Sugu huwa hali Chadema peke yake bali hata upande wa pili kule MCCCCM, huwala vile vile akihudumu kama mpeleka taarifa.

Ki ujumla, Sugu ni MNAFIKI!
 
Sug
Wengi mnaweza kudhani ni Wenje pekee ndiye msanii sanii kwenye kile Chama jambo ambalo si kweli kabisa.

Yupo mdau mwenzake kwenye uga huo al-maarufu kwa majina Joseph Mbilinya a.k.a Sugu. Mwamba huyo maisha yake yote si ya uhalisia hata kidogo pale Chadema. Muda wote yeye ni mnafiki na mfitini kwa kiwango cha lami ngumu.

Sugu, muda wote yeye ni kujipendekeza kwa Mbowe kwa maslahi yake binafsi na hawezi abadani kumkosoa Mbowe hata kama wazi ni shuhuda wa jambo lisilo sawa litendwalo na Mbowe. Hukaa kimya kutetea ugali wake.

Ndumila-kuwili Sugu huwa hali Chadema peke yake bali hata upande wa pili kule MCCCCM, huwala vile vile akihudumu kama mpeleka taarifa.

Ki ujumla, Sugu ni MNAFIKI!
Sugu
Lema
Lisu
Mbowe

Hawa hata bila chadema kama kuna mgombea binafsi wanashinda nafasi za ubunge
 
Keshokutwa yeye na Boniyai wanapokelewa CCM mambo yote yameshalamilika,sijui wataangaliana vipi na Peter Msigwa
 
Mwanasiasa leo ana sema hiki kesho anasema kile kile 😄

Ova
Wanasiasa wengine ni hatari sana kwa ustawi wa jamii yetu.
Leta sheria ya Mchungaji Mtikila mgombea binafsi.Hapo Tanzania itazaliwa upya.Sio Chadema au CCM mwenye madaraka ya kuwakandamiza wananchi.
 
Wengi mnaweza kudhani ni Wenje pekee ndiye msanii sanii kwenye kile Chama jambo ambalo si kweli kabisa.

Yupo mdau mwenzake kwenye uga huo al-maarufu kwa majina Joseph Mbilinya a.k.a Sugu. Mwamba huyo maisha yake yote si ya uhalisia hata kidogo pale Chadema. Muda wote yeye ni mnafiki na mfitini kwa kiwango cha lami ngumu.

Sugu, muda wote yeye ni kujipendekeza kwa Mbowe kwa maslahi yake binafsi na hawezi abadani kumkosoa Mbowe hata kama wazi ni shuhuda wa jambo lisilo sawa litendwalo na Mbowe. Hukaa kimya kutetea ugali wake.

Ndumila-kuwili Sugu huwa hali Chadema peke yake bali hata upande wa pili kule MCCCCM, huwala vile vile akihudumu kama mpeleka taarifa.

Ki ujumla, Sugu ni MNAFIKI!
Wewe ndio mnafiki, eti upo ccm?!
 
Shuguli iko kwa wanachama 😄 na mashabiki 😄
Hivi itoke siku mara paap lissu hyo ccm itakuwaje 😄

Ova
wataunga juhudi wengi mno. hata Lucas M. ndio atakuwa chawa wa Lisu kutuletea nyimbo zake humu jf.
 
Back
Top Bottom