Blue anatumia busara.. Sugu anaangaika dhambi ya usaliti inamtesa.[/QUOTE
Ni kwweli kabisa hii dghambi haitamwacha. Pesa za NBungeni hazimtoshi tu? Huyu ndio anatakiwa awatete wanamuzike, yeye ndio anakuwa wa kwanza kuwadhulumu wanamuziki. Shame on him! Hii ndio type ya Wabunge tulionao, shame!