kufanakupona
JF-Expert Member
- Jun 18, 2015
- 522
- 421
we upo mkoa gan? tafta mkagulu wenyeji wa gairo ndio mabingwa wa kupka sukari gulu
weka picha...maana haya majina hutofautiana kulingana na sehemu ulipo
Ukitaka jinsi ya kutengeneza keki nambie.Vijitu hivyo vya uswahilini sjui jinsi ya kutengeneza
hivi nyie binaadamu wengine mnaishu dunia gani? we tangu lini umesikia sukari guru inapikwa?? ,, ngoja nkusaidie kwa nnavyo jua mie sukari guru hulimwa ndo maana huwa ipo kwa misimu na pia inapatikana baadhi ya sehemu tu ambapo ardhi yake ina support kilimo cha sukari guru. i hope utakua umenielewa.
Hivi sukari guru c ni yale mabaki{uchafu} yanayobaki baada ya sukari kutengenezwa kule viwandani au unazungumzia sukari guru gani mkuu?
Nasikia sukari gulu ni mabaki ya sukari yenyewe inayozalishwa kiwandani, ni kama mauchafu ya sabuni yanayofanana na magimbi yaliyokuwa yanauzwa maeneo fulani.
Yanatofautiana majina tu,lakini sukari guru ni ile ile na ladha ni ile ile.
Hamna asiyeijua sukari guru,si' ile tamu kama sukari iliyokatwa katwa vipande vidogo vidogo na wewe?
jinsi sukari nguru inavyopikwa, chukua miwa kamua maji yake baada ya hapo weka kwenye pipa halafu pika mpaka ichemke haswa halafu tafuta chombo kisafi kama kikombe then mimina yale maji bado ya moto acha ipoe itaganda ndo inaitwa sukari nguru. uikitaka kujua zaid nenda jukwa ya kenya watakuelekeza inavyopikwa, hasa hasa ujaluoni.
sasa inatofautiana nini na hii sukari inayotumika majumbani mfano kwenye chai
sasa inatofautiana nini na hii sukari inayotumika majumbani mfano kwenye chai
Inavyoelekea unaijua sukari guru kwa mapana zaidi.
Tiririka unachofahamu kuhusu aina mbalimbali ya sukari guru.
hamna wala sijui hiyo guru..mi hutofautisha sukari kwa chemical formula yake, hata hiyo aliyoeleza mkuu hapo juu nilikuwa siijui kama ndio guru.
ila jua kuwa hata hii sukari ya kawaida ukiiweka kwenye chombo ukaipika inayeyuka na baada ya hapo unaweza ukaiweka sasa kwa umbo lolote unalolitaka, hata ladha inabadilika kidogo.