Uchaguzi 2020 Sukari ilipanda kutoka shilingi 1,800 kwa kilo mpaka 3,000 kwa kilo

Uchaguzi 2020 Sukari ilipanda kutoka shilingi 1,800 kwa kilo mpaka 3,000 kwa kilo

Ne Mbwitu

JF-Expert Member
Joined
Aug 23, 2020
Posts
275
Reaction score
802
Mfumuko wa bidhaa muhimu kama sukari umechangia ugumu wa maisha kwa watanzania wa kipato cha chini. Serikali ilijitahidi kupambana kuzuia bei ya sukari kupanda bila mafanikio.

Nadhani sasa ni muhimu kwa wagombea watoe ahadi ya kuhakikisha wanadhibiti mfumuko wa bei kwa bidhaa muhimu ili kupunguza ukali wa maisha kwa watanzania ambao bado hawajaufikia huo uchumi wa kati na kipato chao ni chini ya dola moja kwa siku.
 
Watanzania wengi wana waza hayo?!! Tena cha ajabu zaidi, wale wenye maisha magumu sana, hata kula yao kwa siku ni tabu, bwana ukikisema chama chakavu, povu lake kama amekunywa pipa la omo!! Na ugumu wa maisha unavyo mgonga ni balaa!! Masikini ndio mtaji wa hicho chama!! Wanaojielewa wako huko ki masilahi tu!! Wanapiga wanawatia ujinga MBUGILA MBUGILA!!! Wao wanazidi kunyonya
 
Nchi imeharibiwa sana jamani tusikubali serikali hii endelee kuwepo.
Mfumuko wa bidhaa muhimu kama sukari umechangia ugumu wa maisha kwa watanzania wa kipato cha chini. Serikali ilijitahidi kupambana kuzuia bei ya sukari kupanda bila mafanikio.

Nadhani sasa ni muhimu kwa wagombea watoe ahadi ya kuhakikisha wanadhibiti mfumuko wa bei kwa bidhaa muhimu ili kupunguza ukali wa maisha kwa watanzania ambao bado hawajaufikia huo uchumi wa kati na kipato chao ni chini ya dola moja kwa siku.
Mshahara umesimama palepale duu
Lakini chai inagongwa tu. Tanzania ni nchi tajiri duniani
Watanzania wengi wana waza hayo?!! Tena cha ajabu zaidi, wale wenye maisha magumu sana, hata kula yao kwa siku ni tabu, bwana ukikisema chama chakavu, povu lake kama amekunywa pipa la omo!! Na ugumu wa maisha unavyo mgonga ni balaa!! Masikini ndio mtaji wa hicho chama!! Wanaojielewa wako huko ki masilahi tu!! Wanapiga wanawatia ujinga MBUGILA MBUGILA!!! Wao wanazidi kunyonya
 
Tumshukuru Mungu hali ya hewa kuwa bora mbali ya majanga kidogo, awamu hii tano pamekuwa na unafuu bei za chakula na kusaidia mfumko wa bei kuwa chini ya 5% .
 
Back
Top Bottom