Sukari na vyakula vya wanga chanzo Cha magonjwa mengi yasioambukiza

Sukari na vyakula vya wanga chanzo Cha magonjwa mengi yasioambukiza

Doctor MD

JF-Expert Member
Joined
Jan 10, 2020
Posts
209
Reaction score
249
Wanga na sukari ni vyakula ambavyo hutia mwili nguvu.

Lakini ulaji wa vyakula aina hiyo unapaswa kuangaliwa kwa umakinj mana ni kiasi kidogo mno ambacho hutumika kuleta nguvu kwa mtu. Hivyo basi kupelekewa sukari/wanga inayozidi kutunzwa ndani ya mwili ikiwemo kwenye ini, misuli n.k.

Utunzwaji huu wa sukarr/wanga(ini, tishu) huleta changamoto mbalimbali ya kiafya ikiwemo shinikizo la damu, kisukari, saratani, magonjwa ya moyo, kiharusi, upungufu wa nguvu za kiume, ugumba, matatizo ya figo n.k.

Hivyo zingatia mno matumizi yasiyo ya lazima ya sukari/wanga

Fuatana nami
Dr. Msokwa MD
0757160773
 
 
Kuna hoja ya kwamba Kuna watu wenzetu wanaokula vyakula vya wanga lakini life span Yao n kubwa
Kuna mambo kadhaa ya kuyatazama wenzetu huwa hupendelea vyakula aina nyingi ikiwemo mboga mboga na matunda kwa wingi ambavyo vina faiba kwa wingi hivyo husaidia mmengneyo kuwa mzuri na kuzuia magonjwa mengi kama vile magonjwa ya moyo
Lakini pia elimu pamoja na mazoezi wenzetu wamepiga hatua kwenye kujitambua zaidi kuhusu afya
Kingine checkup za afya
 
Huo wanga ndo umetukuza..ugali na samaki...ugali kwa visamvu..wali kwa maharage...tupo strong..wazazi wetu wapo vzr wazee wengi wa zamani wapo mpk leo cha msingi kula chakula unachoweza kukifanyia kazi usile ukazidisha...ila masuala ya usile hiki kula kile haina tija
 
Tanzania Ukweli Mambo Hayo Hatuyawezi Sisi Tunakula Tushibe Mengi Mungu Atatulinda
 
Back
Top Bottom