Sukari si bidhaa ya lazma kwa binadamu, athari zake kiafya ni mbaya, ni kiuchumi tu ndo inasound

Sukari si bidhaa ya lazma kwa binadamu, athari zake kiafya ni mbaya, ni kiuchumi tu ndo inasound

ubarinolutu

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2012
Posts
2,424
Reaction score
4,954
Naona suala la sukari limekuwa sensitive sana, kukosekana kwa sukari imeonekana kama vile ni kukosekana kwa chakula.

Niwaambieni ukikosa sukari hufi, na pia sukari ni mbaya Sana kiafya na Katika mwili wa binadamu, kinachionekana muhimu kwenye sukari Ni umuhimu wake kiuchumi, Viwanda vinategemea sukari kuzalisha junk food (soda, cake, juice, biskuit) vyakula ambavyo Ni hatari kiafya na vinasababisha Kansa, sukari, high blood pressure, mi naona hata sukari isipokuwepo Ni sawa kwakuwa Ina faida kiuchumi tu, sukari inashusha Kinga ya mwili insyosababisha corona kukuvamia kwa Kasi na kukuua.

Tuache na Mambo ya kushabikia sukari, chai unaweza ukanywa bila sukari, kwani tumbo huwa halitambui hii chai inasukari au haina, sisi ulimi unatuponza Sana ,mtu anataka apate ladha ya sekunde kwenye ulimi half badae majuto.

Watanzania tujifunze kutopenda vyakula vya sukari na sukari kwa ujumla, Ila tusiache matumizi kwakuwa tunaitegemea sana kiuchumi Ila tuwe waangalifu
 
Halafu nashangaa ninaposikiliza redio zetu hizi unakuta wadada wanatangaza.

Watanzania kama sukari inaadimikaa na kupanda bei siyo lazima tutumie sukari tutumie Asali na ukiangalia kiafya sukari ni hatari hivyo bei inapopanda tuhamie kwenye asali.

Utadhani watangazaji wetu hawa hatuishi nao mtaani, au wanatangaza tu kwa kuwa mbele yao kuna vipaza sauti huku wakiwa hawajui kama kuna wasikilizaji kweli wanawasikiliza

Kabla ya kuwatangazia watu, fanyeni utafiti mdogo kujua asali bei yake ni tshs ngapi? Mwanza mjini , Dar na kwenye miji yote na vijiji Kisha ujue bei ya sukari kwa mtiririko huo, uone kama ushauri wa asali badala ya sukari uone kama hutajiona UMEKURUPUKA.
 
Halafu nashangaa ninaposikiliza redio zetu hizi unakuta wadada wanatangaza.

Watanzania kama sukari inaadimikaa na kupanda bei siyo lazima tutumie sukari tutumie Asali na ukiangalia kiafya sukari ni hatari hivyo bei inapopanda tuhamie kwenye asali.

Utadhani watangazaji wetu hawa hatuishi nao mtaani, au wanatangaza tu kwa kuwa mbele yao kuna vipaza sauti huku wakiwa hawajui kama kuna wasikilizaji kweli wanawasikiliza

Kabla ya kuwatangazia watu, fanyeni utafiti mdogo kujua asali bei yake ni tshs ngapi? Mwanza mjini , Dar na kwenye miji yote na vijiji Kisha ujue bei ya sukari kwa mtiririko huo, uone kama ushauri wa asali badala ya sukari uone kama hutajiona UMEKURUPUKA.

Fact , sijui tuwaambie vipi watuelewe
 
Na tukishaamishia majeshi kwenye asali basi sukari itashuka bei na asali itapanda bei. 😕
 
Na tukishaamishia majeshi kwenye asali basi sukari itashuka bei na asali itapanda bei. 😕
Sawa siungi mkono matumizi ya sukari hata ikiuzwa 20,000/kwa kg moja ni sawa tu,lakini asali ni ghali mno,ghalama yake si chini ya 10,000,kwa lita moja.usifikili inauzwa bei ya dagaa wa Mwanza.
 
Thread za sukari zimekuwa nyingi, narudia ukikosa sukari hufi
 
Ngoja tu niendelee kusoma comment,

Kama kuna MTU Ana tusi ambalo ni kubwa nomba aniazime kuna MTU ameshanivuruga huku

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona suala la sukari limekuwa sensitive sana, kukosekana kwa sukari imeonekana kama vile ni kukosekana kwa chakula.

Niwaambieni ukikosa sukari hufi, na pia sukari ni mbaya Sana kiafya na Katika mwili wa binadamu, kinachionekana muhimu kwenye sukari Ni umuhimu wake kiuchumi, Viwanda vinategemea sukari kuzalisha junk food (soda, cake, juice, biskuit) vyakula ambavyo Ni hatari kiafya na vinasababisha Kansa, sukari, high blood pressure, mi naona hata sukari isipokuwepo Ni sawa kwakuwa Ina faida kiuchumi tu, sukari inashusha Kinga ya mwili insyosababisha corona kukuvamia kwa Kasi na kukuua.

Tuache na Mambo ya kushabikia sukari, chai unaweza ukanywa bila sukari, kwani tumbo huwa halitambui hii chai inasukari au haina, sisi ulimi unatuponza Sana ,mtu anataka apate ladha ya sekunde kwenye ulimi half badae majuto.

Watanzania tujifunze kutopenda vyakula vya sukari na sukari kwa ujumla, Ila tusiache matumizi kwakuwa tunaitegemea sana kiuchumi Ila tuwe waangalifu
Naunga mkono sana hii hoja, Sukari ni sumu, mwenyewe nakunywaga maziwa makavu, na nimeshazoea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila kitu tunaambiwa kina madhara , unaweza jikakamua usitumie sukari ukasepa kwa covid-19


Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu usiwasikilize hawa ugali wenyewe ukiingia mwilini unageuzwa kuwa sukari ili uweze kufyonzwa na mwili

Kitu chochote kile ukizidisha kinakuwa na madhara yake hata siasa pia
 
Back
Top Bottom