Sukari, umeme na madawa hospitalini

Sukari, umeme na madawa hospitalini

koryo1952

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2023
Posts
948
Reaction score
1,627
Mhe. Bashe SUKARI iko wapi wananchi tunateseka.
Mhe. Biteko UMEME uko wapi wananchi tunateseka.
Mhe. Ummy MADAWA yako wapi wananchi tunateseka hata ukiwa na Bima.
Wananchi tunawaamini lakini mnatuangusha. Time will tell.
 
Back
Top Bottom