Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WATANZANIA WANAONGEA SANA BILA KUTENDA,HIVI KWELI SISI NIW AKUKOSWA SUKARAI KWA MIAKA YOTE HIYO HADI TO IMPORT KUTOKA KWA MAJIRANI.UGANDA WANAZALISHA TANI LAKI 6.50 NA MATUMIZI YA NDANI NI TANI LAKI 3.50 HIVYO HIZO ZINGINE WANAUZA TANZANIA NA NCHI ZINGIZE..LAKINI TANZANIA INADEMAND YA TAONI LAKI 7 ILA INAZALISHA TONI LAKI 3.50,,SO ZIADA INAAGIZWA JE SHIDA NININI KWA WATANZANIA?Rais wenu alisema amejenga v-wonder vingi tu viko wapi ?Mpaka sasa Uganda waanze kuleta bidhaa wakati sisi Ni nchi ya v-wonder
Nchi ina miaka takribani 60 ya uhuru haina dira ya taifa unategemea itapiga vipi hatua katika nyanja zote muhimu kijamii,Elimu,uchumi,siasa nkWATANZANIA WANAONGEA SANA BILA KUTENDA,HIVI KWELI SISI NIW AKUKOSWA SUKARAI KWA MIAKA YOTE HIYO HADI TO IMPORT KUTOKA KWA MAJIRANI.UGANDA WANAZALISHA TANI LAKI 6.50 NA MATUMIZI YA NDANI NI TANI LAKI 3.50 HIVYO HIZO ZINGINE WANAUZA TANZANIA NA NCHI ZINGIZE..LAKINI TANZANIA INADEMAND YA TAONI LAKI 7 ILA INAZALISHA TONI LAKI 3.50,,SO ZIADA INAAGIZWA JE SHIDA NININI KWA WATANZANIA?
Inachekesha sana nchi yetu, hawa wazalishaji wakiulizwa mbona sukari bei juu jibu lao ni mija tuKuna zimwi gani Tanzania? Hivi bongo bahati mbaya kweli au ni ugumu wa kuwekeza hapa?
Sukari Tanzania ni shida, mafuta ya kula ni shida,kwanini tuna dhida wakati tuna kila kitu nchini?
Hata DRC hawatuziji chief ,sisi tuna maji na mabonde mengi mnooo.Nchi ina maji mengi kuliko zote Africa, labda DRC ndiyo wanaweza tuzidi. Ina ardhi ya kutosha lakini eti inaagiza sukari!! Wanaotuongoza hawana uwezo wa kuongoza.
Mkuu...sera yetu ya kulinda viwanda vya ndan ni shiiiiida...na ndomana watu hawatak poteza muda ....product toka nje znaingia kiholela tuu. Utandawaz na soko huria na serikal kutoipa sera hyo meno ndicho chanzo....kuna watanzania wanaiona hyo fursa kila uchwao,mtu ana install mitambo na machine kila kitu..anatumia umeme wa gharama.kila kitu gharama. Kodi za kutosha...halaf hapo hapo Anatokea mfanyabiashara keshapiga mahesab yake..anajua akichkua sukar brazil ambako umeme kule ni wa nuclear viwanda vinafyatua tu...gharama si kubwa..hawana makodi meng..anaona akileta sukar hyo kwa unafuu akiuza kila 2500 atapata faida kubwa tu . Sasa huyu mwenye kiwanda Tanzania kutokana na mazingira magumu yeye ili apate faida inabid auze sukar 2800...unategemea huyu mwenye kiwanda tanzania ataendelea na kiwanda au nayeye ataamua kuagiza hyo sukar na kupunguza urasimu na milolongo mireeefu.Kuna zimwi gani Tanzania? Hivi bongo bahati mbaya kweli au ni ugumu wa kuwekeza hapa?
Sukari Tanzania ni shida, mafuta ya kula ni shida,kwanini tuna dhida wakati tuna kila kitu nchini?
Dah, hatari sn.Halaf ajabu, nimesikia watu wa bonde la kilombero mwaka jana wamepata hasara ya tani laki 4 za miwa, kiwanda hakikuchukua ... Yaan wanazalisha miwa mingi kuliko capacity ya kiwanda. Mbunge wao anasema mwaka huu wakulima watapata hasara ya zaidi ya tani laki 4 za mwaka jana cz kiwanda kimepunguza kiasi cha miwa watachochukua tena mwaka huu.
Kwasabab yeye kaanza tawala Tz tokea 1961 si ndio?jamaa lenu liliharibu nchi huku likijimwambafy kuwa linaijenga.
Mwendazake aliharibu biashara SanaHalaf ajabu, nimesikia watu wa bonde la kilombero mwaka jana wamepata hasara ya tani laki 4 za miwa, kiwanda hakikuchukua ... Yaan wanazalisha miwa mingi kuliko capacity ya kiwanda. Mbunge wao anasema mwaka huu wakulima watapata hasara ya zaidi ya tani laki 4 za mwaka jana cz kiwanda kimepunguza kiasi cha miwa watachochukua tena mwaka huu.
Kuna uhaba mkubwa wa sukari wacha iwe nyingi na bei ishuke.Kuna zimwi gani Tanzania? Hivi bongo bahati mbaya kweli au ni ugumu wa kuwekeza hapa?
Sukari Tanzania ni shida, mafuta ya kula ni shida,kwanini tuna dhida wakati tuna kila kitu nchini?
Shida sio bidhaa kuingia nchini bali production costs na ufinyu wa wafanya Kazi.Mkuu...sera yetu ya kulinda viwanda vya ndan ni shiiiiida...na ndomana watu hawatak poteza muda ....product toka nje znaingia kiholela tuu. Utandawaz na soko huria na serikal kutoipa sera hyo meno ndicho chanzo....kuna watanzania wanaiona hyo fursa kila uchwao,mtu ana install mitambo na machine kila kitu..anatumia umeme wa gharama.kila kitu gharama. Kodi za kutosha...halaf hapo hapo Anatokea mfanyabiashara keshapiga mahesab yake..anajua akichkua sukar brazil ambako umeme kule ni wa nuclear viwanda vinafyatua tu...gharama si kubwa..hawana makodi meng..anaona akileta sukar hyo kwa unafuu akiuza kila 2500 atapata faida kubwa tu . Sasa huyu mwenye kiwanda Tanzania kutokana na mazingira magumu yeye ili apate faida inabid auze sukar 2800...unategemea huyu mwenye kiwanda tanzania ataendelea na kiwanda au nayeye ataamua kuagiza hyo sukar na kupunguza urasimu na milolongo mireeefu.