Hilo nalo nenoZanzibar ni watumiaji wazuri Wa sukari pengine kuliko bara, hivi Zanzibar wanazalisha sukari nyingi sana wasioweza kuinywa wenyewe ikaisha kiasi cha kulilia iletwe bara kuuzwa?
Au kuna sababu nyingine nyuma ya pazia kuhusu sukari hiyo? Isije ikawa chambo cha kuingiza sukari ya Brazil kupitia wafanyabiashara wajanja. Bara watajuaje kama sukari yote imezalishwa Zanzibar? Kuna bandari bubu nyingi sana za bidhaa zinazoingizwa visivyo kutoka Zanzibar.
Zanzibar ni watumiaji wazuri Wa sukari pengine kuliko bara, hivi Zanzibar wanazalisha sukari nyingi sana wasioweza kuinywa wenyewe ikaisha kiasi cha kulilia iletwe bara kuuzwa?
Au kuna sababu nyingine nyuma ya pazia kuhusu sukari hiyo? Isije ikawa chambo cha kuingiza sukari ya Brazil kupitia wafanyabiashara wajanja. Bara watajuaje kama sukari yote imezalishwa Zanzibar? Kuna bandari bubu nyingi sana za bidhaa zinazoingizwa visivyo kutoka Zanzibar.
Kwenye Label za viroba vyaoHicho kidoti cheusi kiko wapi mkuu?