Sukari yafika 3500 kwa Kg 1 na hiyo ni Dodoma..ila hatusikii kelele kama alizopigiwa Magufuli

ryan riz

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
423
Reaction score
683
Unafiki wa Watanzania ndio hapa, hakuna cha chama cha upinzani wala wanaharakati koko. Vitu vimepanda bei zaidi ya mara tatu ya enzi za Magufuli ila watu kimyaa!

Nimeamini zile kelele za vyuma vimekaza ni za washenzi waliobaniwa mirija yao tu na sukari yenyewe zimejazwa vumbi tu hazikoi.

Unaweza tumia vijiko vitatu ndio uone chai inasukari!
 
Sukari toka kipindi cha Magu bei yake ndio hio hio tu,

Btw, kati ya kitu ambacho waTz huwa wanalalamika kikipanda bei na huwa siwaelewi ni sukari πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Huwezi kuzikia tena MACHAWA wamekuwa wengi kila nyanja waandishi wote wa habari TV nk.wote ni MACHAWA

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
 

Haijulikani yule waziri alisema anayeuza zaidi ya afu tatu akamatwe, naye alipotelea wapi .. Hii nchi ngumu sana.
 
Sukari toka kipindi cha Magu bei yake ndio hio hio tu,

Btw, kati ya kitu ambacho waTz huwa wanalalamika kikipanda bei na huwa siwaelewi ni sukari πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Hahaha braza sukari ni kakiungo muhimu sana kwenye vitu vingi...ila kiujumla vitu vimepanda bei sana yaani sana
 
Labda hela zipo mifukoni. Kwa magu mifuko mikavu halafu bei juu wangeachjsa kupiga kelele?
 
Waliokuwa wanaratibu kumpigia kelele Magufuli ndiyo hao wanaopandisha bei za vitu sasa....
 
Umegundua kwa kuchelewa sana watanzania ni wanafik sana zile kelele zilikuwa za wezi na wenye vyeti fyeki

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Hahaha braza sukari ni kakiungo muhimu sana kwenye vitu vingi...ila kiujumla vitu vimepanda bei sana yaani sana
Vitu gani bana, kwenye chai na juice na keki au πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Sukari toka kipindi cha Magu bei yake ndio hio hio tu,

Btw, kati ya kitu ambacho waTz huwa wanalalamika kikipanda bei na huwa siwaelewi ni sukari πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Acha uongo bei imepanda toka 2800 mpaka 3500
 
Sukariiii sugar sukariii in zuchu voice. Naipongeza serekali kupandisha Bei ya sukari ili kutokomeza na kufutilia mbali ugonjwa wa kisukari na pia unene kupitia kiasi esp kwa wakazi wa daslaaam
 
Sukari toka kipindi cha Magu bei yake ndio hio hio tu,

Btw, kati ya kitu ambacho waTz huwa wanalalamika kikipanda bei na huwa siwaelewi ni sukari πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Huelewi sababu we 1kg unatumia mwezi mzima.. huna tumizi na sukari

Waache wanaotumia sukari kwenye shughuli zao za kila siku walalamike
 
Sukari toka kipindi cha Magu bei yake ndio hio hio tu,

Btw, kati ya kitu ambacho waTz huwa wanalalamika kikipanda bei na huwa siwaelewi ni sukari πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Naweza kukaa mwaka mzima bila kutumia sukari na hakuna nitakachopoteza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…