Sukari yenye sumu Zebaki, iliyotengenezwa maabara yashamiri masokoni Nairobi kwa matumizi ya nyumbani

Sukari yenye sumu Zebaki, iliyotengenezwa maabara yashamiri masokoni Nairobi kwa matumizi ya nyumbani

game over

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2016
Posts
10,727
Reaction score
24,840
Rushwa Inaangamiza Wakenya,

Wanasiasa Kenya wakiongozwa na Rais hujali pesa tu, Maisha ya wakenya masikini ambao ni 98% sio Kipaumbele kabisa kwao.

Sukari hii iliyotengenezwa Maabara yenye sumu ya Zebaki na Shaba imebainika kuuzwa na kutumiwa kwa Domestic consumption.

Sad.

 
Kwakweli wakenya wapo kwenye mikono salama ya free press. Sisi hatujui na hatutajua, maabara zinazotakiwa kupima ndo hizo zina 'kirimino' tutamwamini nani? twende tu ivo ivo!
 
That was 1 year ago, sasa wewe leo ndo unakuja kuleta hiyo story ya mwaka jana?? Ungetueleza ni hatua gani zilichukuliwa maana ni mwaka tokea hiyo habari itokee.
 
Back
Top Bottom