Sukari

Sukari

stephot

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2012
Posts
17,216
Reaction score
26,225
Naombeni msaada wataalamu wa JF,sukari katika mwili wa binadamu katika hali ya kawaida inatakiwa iwe kiwango gani,kwa vipimo vya Hospitali!na ni vitu gani ukifanya vinaweza kusababisha sukari yako kushuka,na inapokuwa imeshuka unatakiwa kutumia nini ili uweze tena kuirudisha kwenye hali yake ya kawaida!
 
Naombeni msaada wataalamu wa JF,sukari katika mwili wa binadamu katika hali ya kawaida inatakiwa iwe kiwango gani,kwa vipimo vya Hospitali!na ni vitu gani ukifanya vinaweza kusababisha sukari yako kushuka,na inapokuwa imeshuka unatakiwa kutumia nini ili uweze tena kuirudisha kwenye hali yake ya kawaida!

Kwa uwelewa wangu na tatizo la ugonjwa tajwa nilionao, kwa kawaida inatakiwa iwe kati ya 4-7. Ikishuka basi una maradhi hayo na ili ipande kula tembe 1 ya tende au kinywaji cha soda aina ya Fanta.
 
Back
Top Bottom