Suleiman Nyambui asema hakufurahishwa jinsi kina Simbu walivyotoswa Airport

Suleiman Nyambui asema hakufurahishwa jinsi kina Simbu walivyotoswa Airport

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
Mwanariadha wa zamani na kocha wa mchezo huo, Suleiman Nyambui amesema hakufurahishwa na kitendo cha Uongozi wa Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC) kutojitokeza kuwapokea Wanariadha wa Tanzania walioenda kushiriki katika michezo ya Olimpiki Jijini Parisi, Ufaransa.

Imedaiwa Mkuu wa Msafara huo ulikuwa chini ya Makamu Rais wa TOC, Henry Tandau ambaye aliwasili Uwanja wa Ndege, Saa 10:00 Alfajiri, baada ya hapo akaondoka, dakika 20 baadaye Wanariadha hao wakawasili na ndege nyingine, wakakwama kutoka baada ya mabegi yao kuelezwa yamebaki Cairo, Misri.

Nyambui ambaye alikuwa eneo la tukio akatoa msaada wa kukamilisha utaratibu wa kujaza fomu, wakafanikiwa kutoka Saa 12:00 Asubuhi, akasema “Tunafanya makosa kutopokea Mchezaji ambaye hajaleta ushindi, tumpokee hata ambaye ameshiriki na kupambana kuutafuta ushindi, naimani hawahawa ndio watafuzu kushiriki Olimpiki 2028.”
 
Mwanariadha wa zamani na kocha wa mchezo huo, Suleiman Nyambui amesema hakufurahishwa na kitendo cha Uongozi wa Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC) kutojitokeza kuwapokea Wanariadha wa Tanzania walioenda kushiriki katika michezo ya Olimpiki Jijini Parisi, Ufaransa.

Imedaiwa Mkuu wa Msafara huo ulikuwa chini ya Makamu Rais wa TOC, Henry Tandau ambaye aliwasili Uwanja wa Ndege, Saa 10:00 Alfajiri, baada ya hapo akaondoka, dakika 20 baadaye Wanariadha hao wakawasili na ndege nyingine, wakakwama kutoka baada ya mabegi yao kuelezwa yamebaki Cairo, Misri.

Nyambui ambaye alikuwa eneo la tukio akatoa msaada wa kukamilisha utaratibu wa kujaza fomu, wakafanikiwa kutoka Saa 12:00 Asubuhi, akasema “Tunafanya makosa kutopokea Mchezaji ambaye hajaleta ushindi, tumpokee hata ambaye ameshiriki na kupambana kuutafuta ushindi, naimani hawahawa ndio watafuzu kushiriki Olimpiki 2028.”
Huyo naye akili yake imeshakuwa dormant,watu wameshindwa kuperform halafu 2028 waende hao hao!
 
Hiyo TOC yenyewe miaka nenda Katibu wake Mkuu ni Filbert Bayi!! Halafu ndiyo tutegemee miuniza kwa mtu ambaye hana jipya!! Mtu huyo huyo tena unakuta anateua vibaraka wake wa kumsaidia na kumlinda ili aendelee kubakia kwenye hiyo nafasi!! Na hakuna wa kumbabaisha. Siyo serikali, siyo wanamichezo!

Hivi hakuna mtu mwingine mwenye sifa ya kuwa Katibu wa TOC isipokuwa Filbert Bayi?? Hii nchi mbona ina watu wabinafsi sana wa kupenda kung'ang'ania vyeo na madaraka!!! Hivi huyu mtu haiwezekani kumuondoa hata kwa kumtengenezea zengwe!
 
Hiyo TOC yenyewe miaka nenda Katibu wake Mkuu ni Filbert Bayi!! Halafu ndiyo tutegemee miuniza kwa mtu ambaye hana jipya!! Mtu huyo huyo tena unakuta anateua vibaraka wake wa kumsaidia na kumlinda ili aendelee kubakia kwenye hiyo nafasi!! Na hakuna wa kumbabaisha. Siyo serikali, siyo wanamichezo!

Hivi hakuna mtu mwingine mwenye sifa ya kuwa Katibu wa TOC isipokuwa Filbert Bayi?? Hii nchi mbona ina watu wabinafsi sana wa kupenda kung'ang'ania vyeo na madaraka!!! Hivi huyu mtu haiwezekani kumuondoa hata kwa kumtengenezea zengwe!
Anatumia pesa za International Olympic Commettee kuhongea kila kiongozi wa wizara hadi wanaomletea zengwe.
 
Hiyo TOC yenyewe miaka nenda Katibu wake Mkuu ni Filbert Bayi!! Halafu ndiyo tutegemee miuniza kwa mtu ambaye hana jipya!! Mtu huyo huyo tena unakuta anateua vibaraka wake wa kumsaidia na kumlinda ili aendelee kubakia kwenye hiyo nafasi!! Na hakuna wa kumbabaisha. Siyo serikali, siyo wanamichezo!

Hivi hakuna mtu mwingine mwenye sifa ya kuwa Katibu wa TOC isipokuwa Filbert Bayi?? Hii nchi mbona ina watu wabinafsi sana wa kupenda kung'ang'ania vyeo na madaraka!!! Hivi huyu mtu haiwezekani kumuondoa hata kwa kumtengenezea zengwe!
Siku zote najua Filbert Bayi ni mtu mashuhuri labda kuna kitu special aliifanyia nchi kwa jinsi alivyo maarufu kumbe ni katibu tu wa TOC!
 
Mwanariadha wa zamani na kocha wa mchezo huo, Suleiman Nyambui amesema hakufurahishwa na kitendo cha Uongozi wa Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC) kutojitokeza kuwapokea Wanariadha wa Tanzania walioenda kushiriki katika michezo ya Olimpiki Jijini Parisi, Ufaransa.

Imedaiwa Mkuu wa Msafara huo ulikuwa chini ya Makamu Rais wa TOC, Henry Tandau ambaye aliwasili Uwanja wa Ndege, Saa 10:00 Alfajiri, baada ya hapo akaondoka, dakika 20 baadaye Wanariadha hao wakawasili na ndege nyingine, wakakwama kutoka baada ya mabegi yao kuelezwa yamebaki Cairo, Misri.

Nyambui ambaye alikuwa eneo la tukio akatoa msaada wa kukamilisha utaratibu wa kujaza fomu, wakafanikiwa kutoka Saa 12:00 Asubuhi, akasema “Tunafanya makosa kutopokea Mchezaji ambaye hajaleta ushindi, tumpokee hata ambaye ameshiriki na kupambana kuutafuta ushindi, naimani hawahawa ndio watafuzu kushiriki Olimpiki 2028.”
Watalii wanapokelewa na familia zao over, hiyo complimentary waliopata inatosha msituchoshe.
 
Mwanariadha wa zamani na kocha wa mchezo huo, Suleiman Nyambui amesema hakufurahishwa na kitendo cha Uongozi wa Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC) kutojitokeza kuwapokea Wanariadha wa Tanzania walioenda kushiriki katika michezo ya Olimpiki Jijini Parisi, Ufaransa.

Imedaiwa Mkuu wa Msafara huo ulikuwa chini ya Makamu Rais wa TOC, Henry Tandau ambaye aliwasili Uwanja wa Ndege, Saa 10:00 Alfajiri, baada ya hapo akaondoka, dakika 20 baadaye Wanariadha hao wakawasili na ndege nyingine, wakakwama kutoka baada ya mabegi yao kuelezwa yamebaki Cairo, Misri.

Nyambui ambaye alikuwa eneo la tukio akatoa msaada wa kukamilisha utaratibu wa kujaza fomu, wakafanikiwa kutoka Saa 12:00 Asubuhi, akasema “Tunafanya makosa kutopokea Mchezaji ambaye hajaleta ushindi, tumpokee hata ambaye ameshiriki na kupambana kuutafuta ushindi, naimani hawahawa ndio watafuzu kushiriki Olimpiki 2028.”
Wajeuri hao acha wakipokee wenyewe..
 
Huyo naye akili yake imeshakuwa dormant,watu wameshindwa kuperform halafu 2028 waende hao hao!
Usishangae, yaani mtu amefeli almost mara tatu , badala wabadili team wa recruit vijana wadogo kwneye elite levels. Wanataka kurudisha watu walioshindwa wakidhani watapata matokeo tofauti

Only in tanzania kwakweli
 
Watanzania hufurahishwa na ufaulu... Sisi sio wajinga

Watanzania humpokea yeyote anayefanya vizuri...

Wasanii kina Diamond hupokelewa kwa kuiwakilisha nchi vyema...

Simba na Yanga hupokelewa kwa ufaulu wao kimataifa....

Mwakinyo alipofanya vizuri tulimpokea, alipotandikwa tukamtosa...hii ni kwasababu hatufugi wanaofeli...

Hao wana olimpiki wafanye vizuri ndio walalamike...
 
Back
Top Bottom