Mimi nimemfananisha Diamond kama ndio kigezo sahihi cha muziki mzuri kwa sasa, siwezi kumfananisha na mtu ambae hana changamoto kwenye mziki.Yaan kila msanii atakae paa kidogo mnaleta kumfananisha na diamond mlianza na kiba mkachemka akaja darasa mmechemka amekuja huyu napo mnachemka
Diamond hana mpinza asee[emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu WCB now ndo kigezo chema kwenye mziki wetu, so wacha watu wajilinganishe na vilivyo vizuri.....WCB kiufupi ndio Hadidu Rejea kwenye bongo flavor kwa sasaSawa meneja tumekusikia, ila hapo ndipo mnapokosea kudhani kwamba ili msanii fulani a-hit basi ni lazima kumuangusha aliye juu. Kwani Darasa alivyohit iliwazuia WCB kufanya mambo yao?
Hapo nimekupata kaka,,unamaana ya kwamba hakuna msanii mkubwa anaefanya vizur kama diamond wengine ndo wanafuataMimi nimemfananisha Diamond kama ndio kigezo sahihi cha muziki mzuri kwa sasa, siwezi kumfananisha na mtu ambae hana changamoto kwenye mziki.
Sikumbuki kuwahi kumsikia lakini anajua... sana tu!! Akipata management inayofahamu industry ya Tanzania inaenda vipi anaweza kutusua!!Mkuu nimeifanyia kazi concern yako, nimeshaziweka some hapa, atakae na ajionee tu watu wenye vipaji vyao vya kweli ambao bado hawajauona mwanya wa mafanikio.
Yule anaitwa Momba.Kwao kigamboni hapo.hivi na yule aliimbaga kabwela sina mali , alikuaga anaitwa nani?
Kwa sababu Kiba yupo kwenye ligi ya peke yake.Hiyo ndio SI Unit mkuu, huwezi kuta hata siku 1 msanii anayekuja kasi kulinganishwa na Kiba, jiulize kwanini
Sure bro, ndo maana kwa sasa anajaribu ata kujiweka karibu na watu kama kina mkubwa fella, babutale and alike, siku wakiweza kuassess vyema kipaji chake nadhani watafikiria namna ya kumpush jamaa.Sikumbuki kuwahi kumsikia lakini anajua... sana tu!! Akipata management inayofahamu industry ya Tanzania inaenda vipi anaweza kutusua!!
Jamaa nlikuwa namuelewa sana, ila nashindwa kushangaa hawa wasanii wenngine huwa wanakwama wapi hasa mpk wanashindwa kufikia level za juu na ilhali vipaji vya kuimba wanavyo.Yule anaitwa Momba.Kwao kigamboni hapo.
Alitoa ngoma nyingine kama "Mdundiko" alifanya na Juma Nature kuna nyimbo kama "Sio Sharobaro" na ile "Dar es salaam" ni nyimbo nzuri mno zitafute.
Yule dogo alikuwa Ana kipaji kikubwa mno.Jamaa nlikuwa namuelewa sana, ila nashindwa kushangaa hawa wasanii wenngine huwa wanakwama wapi hasa mpk wanashindwa kufikia level za juu na ilhali vipaji vya kuimba wanavyo.
eeeh alitambaga kipindi kile , na hio tatizo mimi sio sharobaroYule anaitwa Momba.Kwao kigamboni hapo.
Alitoa ngoma nyingine kama "Mdundiko" alifanya na Juma Nature kuna nyimbo kama "Sio Sharobaro" na ile "Dar es salaam" ni nyimbo nzuri mno zitafute.
Shida sio kufika juu, bali kikwazo ni kubaki juuJamaa nlikuwa namuelewa sana, ila nashindwa kushangaa hawa wasanii wenngine huwa wanakwama wapi hasa mpk wanashindwa kufikia level za juu na ilhali vipaji vya kuimba wanavyo.