Sultan Qaboos wa Oman afariki dunia. Sultan Haitham Bin Tariq Al Said achaguliwa kuwa mrithi wake

Sio kweli wazungu ndio walituuza na kutuweka kwenye zoo Kama nyani na ngedere mpaka leo wanaitwa black Americans nchi kibao za ulaya zimejaa kizazi Cha watumwa ila mzungu noma [emoji1][emoji1][emoji16][emoji2960]

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni waarabu ndo wamefanya yote hayo. Mbaya zaidi walikuwa wanawaasi ili wasizaliane. Huko America wanazaliana sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Si kweli, walio kuuza wazungu na babu zako, hao waliuondoa utumwa.

Wazungu mpaka leo hii wanawanunua na kuwauza, huelewi hilo?

Unaelewa meli ya kwanza kupeleka Waafrika America iliitwa Jesus, yes Yesu?
Unaelewa biashara ya utumwa ilianza mwaka gani? Sultan Said alikuwa kinara kwenda kuwachukua watumwa kigoma.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
January 13, 2020
Zanzibar, Tanzania

Khitma kwa ajili ya Sultan Qaboos yasomwa Zanzibar
Kufuatia kifo cha Sultan Qaboos bin Said wa Oman tarehe 10 Januari 2020, wakaazi wa Mji Mkongwe wa Zanzibar wamekusanyika kumuombea dua kiongozi huyo mashuhuri duniani.

Source: Weyani TV
 
January 13, 2020
Zanzibar, Tanzania
Makamu wa Kwanza mstaafu Maalim Seif awapa mkono wa pole WaOmani
Kufuatia kifo cha kiongozi wa Oman, Sultan Qaboos bin Said, kilichotokea juzi, Makamu wa Kwanza Mstaafu wa Rais wa Zanzibar ambaye pia ni Mshauri Mkuu wa chama cha ACT Wazalendo, Maalim Seif Sharif Hamad, amekwenda kwenye Ubalozi Mdogo wa Oman uliopo Mjini Unguja kwa kuwapa pole raia wa Oman kutokana na msiba huo.

Source: Weyani TV
 

Mkuu:
Kigoma Ujiji kuna msikiti uliojengwa na hawa wa Oman mwaka 1840.
 
Muelewe Riyal moja ya Oman ni sawa na Tshs 5800

Cᵃʳᵉᵉᵐ ₜₕₑ ᴸᵉᵍᵉⁿD
 

Mkuu:
Ahsante kwa ufafanuzi huu mzuri.
Hivi ni kweli kuna uhusiano wa kindugu kati ya Masultani walio tawala Zanzibar na hawa wa Sultanate of Oman?
 
Upumbavu umekutawala kiasi icho kumbe 😀
 
Mkuu:
Ahsante kwa ufafanuzi huu mzuri.
Hivi ni kweli kuna uhusiano wa kindugu kati ya Masultani walio tawala Zanzibar na hawa wa Sultanate of Oman?
Kakulisha upupu na wewe umetuliaaa 😀
 
Mkuu:
Ahsante kwa ufafanuzi huu mzuri.
Hivi ni kweli kuna uhusiano wa kindugu kati ya Masultani walio tawala Zanzibar na hawa wa Sultanate of Oman?

Ni kweli Masultan wa Oman na Wazanzibar walikuwa ni Watu wa Ukoo mmoja ambapo wote ni Kizazi cha Mfalme wa Oman aliyekuwa akiishi Zanzibar Sayyid Saeed Bin Sultan.

Kumbuka kuwa Makao Makuu ya Serikali ya Oman yalikuwa Zanzibar na Mfalme wa Oman alikuwa akiishi Zanzibar.

Ila katika Watoto wake wakatofautiana wakaamua kugawana Mmoja akarudi Oman kuwa Mfalme wa Oman pekee, na Mwengine akabaki Zanzibar kuwa Mfalme wa Zanzibar pekee.

Lakini Baada ya Uengereza kuitawala Oman na Zanzibar ikawa chini ya Muengereza.

Kwahiyo Zanzibar mpaka inapata Uhuru ilikuwa chini ya Uengereza huku Mfalme wa Zanzibar akiwa ni Puppet wa Uengereza na wala si Oman kama Watu wanavyodanganywa na kuaminishwa.

Oman yenye ilikuwa ni Koloni la Muengereza, Sasa Koloni litawezaje kutawala Zanzibar.

Na ukisoma harakati za kudai Uhuru za Kina Karume zote utaziona kuwa Walikiwa wakienda Uengereza kuzidai na wala Hawakuwahi kwenda Oman kidai Uhuru.

Na December mwaka 1963 (tarehe nimeisahau lakini unaweza kigoogle) utakutia kuwa Zanzibar ilikabidhiwa Uhuru wake kamili kitoka kwa Uengereza na wala si Oman.

Na Waziri Mkuu aliyekabidhiwa alikuwa ni Mswahili Muhamedi Shamte (Hakuna Muarabu anaitwa Shamte).

Bali kitokana na Chuki tu za baadhi ya Watu wa Ndani na Nje ya Zanzibar ndiyo zikapangwa njama za Kuipindua Serikali iliyokabidhiwa Uhuru ambayo Wazanzibari waliwapindua Wazanzibari wenzao.

Hakuna Muarabu aliyepinduliwa kwani Serikali na Viongozi wake walikuwa ni Waswahili.
 
Na Sultan aliekimbilia uingereza aliitwa nani? Au ndio Shamte

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…