Suluhisho la Kamatakamata (Watu wasiruhusiwe kukamatakamata)

Suluhisho la Kamatakamata (Watu wasiruhusiwe kukamatakamata)

Logikos

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2014
Posts
15,460
Reaction score
24,233
Hii kamatakamata ya watu so called wa Taasisi inaleta loopholes za hata majambazi na watu wengine kujifanya nao wana mandate ya kukamata watu hivyo kupelekea maisha yetu mtaani kuwa ya hatari...

Ushauri ili kuondoa Sintofahamu hizi
  • Kama mtu anatakiwa na vyombo vya sheria basi polisi wapeleke kwake order kwamba tunakuhitaji ili yeye na hata watu wake wa karibu waweze kufika kituoni kwa maelezo.
  • Asipotokea au kufuata ombi hilo la kufika kituoni basi askari hao wanaweza kumfuata bali pia wapite kwa mwenyekiti wa Mtaa
  • Mtu yoyote ambaye wanaweza kumkamata ni yule ambaye inajulikana yupo katika wanted list... (yaani ametafutwa hajapatikana / yupo mafichoni)
Taarifa kama hizi zisambae pote ili kila mwananchi atambue kwamba hakuna mtu mwenye ruksa ya kukushika kwahio akija mtu yoyote kwamba anakushika bila taarifa kutoka polisi kwamba unatafutwa ufahamu kuwa mtu huyu ni Jambazi na ruksa kujilinda au kukataa kwenda...
 
--ASIKAMATWE MTU YEYOTE, PASIPO MJUMBE WA NYUMBA KUMI KUHUSISHWA,
--ASIKAMATWE MTU YEYOTE, BILA NDUGU ZAKE WAWILI WA DAMU KUHUSIKA JUU YA UKAMATWAJI WAKE
--Endelea manawane........
(Ukamatwaji wa vibaka na wezi aidha majambazi, usihusishwe na ukamataji huu unaozungumziwa hapa)
 
--ASIKAMATWE MTU YEYOTE, PASIPO MJUMBE WA NYUMBA KUMI KUHUSISHWA,
--ASIKAMATWE MTU YEYOTE, BILA NDUGU ZAKE WAWILI WA DAMU KUHUSIKA JUU YA UKAMATWAJI WAKE
--Endelea manawane........
(Ukamatwaji wa vibaka na wezi aidha majambazi, usihusishwe na ukamataji huu unaozungumziwa hapa)
Hata huo nao ufuate hayo hapo juu unless wewe ni wanted (jambazi) au umekutwa kwenye harakati (kibaka) basi hawa wahuni wanaweza wakatumia loophole hio ili kukushika kwamba wewe ni mtuhumiwa au umefananishwa na jambazi fulani
 
Watu wenye uwezo wa kujitetea, wafanye tu hivyo. Maana ndiyo njia sahihi kuliko zote kwa mtazamo wangu.

Kinyume na hapo, basi utaratibu wa kumkamata mtu ufanyike kwa kufuata miongozo iliyowekwa. Ila siyo watu wanakushusha kwenye basi, na wewe unakubali tu kama ng'ombe! Halafu wanaenda kukuua kikatili.
 
Watu wenye uwezo wa kujitetea, wafanye tu hivyo. Maana ndiyo njia sahihi kuliko zote kwa mtazamo wangu.

Kinyume na hapo, basi utaratibu wa kumkamata mtu ufanyike kwa kufuata miongozo iliyowekwa. Ila siyo watu wanakushusha kwenye basi, na wewe unakubali tu kama ng'ombe! Halafu wanaenda kukuua kikatili.
Unamaanisha watu wenye uwezo wa kujitetea kama vile una panga uwakate ? Si hapo watakuongezea Kesi ya Kujeruhi ?

Nadhani iwe Sheria hakuna kukamata mtu bila kufuata taratibu (tuondoe kabisa hii loophole)
 
Hii kamatakamata ya watu so called wa Taasisi inaleta loopholes za hata majambazi na watu wengine kujifanya nao wana mandate ya kukamata watu hivyo kupelekea maisha yetu mtaani kuwa ya hatari...

Ushauri ili kuondoa Sintofahamu hizi
  • Kama mtu anatakiwa na vyombo vya sheria basi polisi wapeleke kwake order kwamba tunakuhitaji ili yeye na hata watu wake wa karibu waweze kufika kituoni kwa maelezo.
  • Asipotokea au kufuata ombi hilo la kufika kituoni basi askari hao wanaweza kumfuata bali pia wapite kwa mwenyekiti wa Mtaa
  • Mtu yoyote ambaye wanaweza kumkamata ni yule ambaye inajulikana yupo katika wanted list... (yaani ametafutwa hajapatikana / yupo mafichoni)
Taarifa kama hizi zisambae pote ili kila mwananchi atambue kwamba hakuna mtu mwenye ruksa ya kukushika kwahio akija mtu yoyote kwamba anakushika bila taarifa kutoka polisi kwamba unatafutwa ufahamu kuwa mtu huyu ni Jambazi na ruksa kujilinda au kukataa kwenda...
Hata huo nao ufuate hayo hapo juu unless wewe ni wanted (jambazi) au umekutwa kwenye harakati (kibaka) basi hawa wahuni wanaweza wakatumia loophole hio ili kukushika kwamba wewe ni mtuhumiwa au umefananishwa na jambazi fulani
Watu wenye uwezo wa kujitetea, wafanye tu hivyo. Maana ndiyo njia sahihi kuliko zote kwa mtazamo wangu.

Kinyume na hapo, basi utaratibu wa kumkamata mtu ufanyike kwa kufuata miongozo iliyowekwa. Ila siyo watu wanakushusha kwenye basi, na wewe unakubali tu kama ng'ombe! Halafu wanaenda kukuua kikatili.
Haya majanga yote ni kutokana na Watu kupoteza Imani dhidi ya vyombo vya Dola na Serikali kwa ujumla wake
 
Watu wenye uwezo wa kujitetea, wafanye tu hivyo. Maana ndiyo njia sahihi kuliko zote kwa mtazamo wangu.

Kinyume na hapo, basi utaratibu wa kumkamata mtu ufanyike kwa kufuata miongozo iliyowekwa. Ila siyo watu wanakushusha kwenye basi, na wewe unakubali tu kama ng'ombe! Halafu wanaenda kukuua kikatili.
Na sisi tusiruhusu mtu akamatwe kizembe
 
--ASIKAMATWE MTU YEYOTE, PASIPO MJUMBE WA NYUMBA KUMI KUHUSISHWA,
--ASIKAMATWE MTU YEYOTE, BILA NDUGU ZAKE WAWILI WA DAMU KUHUSIKA JUU YA UKAMATWAJI WAKE
--Endelea manawane........
(Ukamatwaji wa vibaka na wezi aidha majambazi, usihusishwe na ukamataji huu unaozungumziwa hapa)
Na ndiyo utaratibu lakini polisi hawakubali
 
Hii kamatakamata ya watu so called wa Taasisi inaleta loopholes za hata majambazi na watu wengine kujifanya nao wana mandate ya kukamata watu hivyo kupelekea maisha yetu mtaani kuwa ya hatari...

Ushauri ili kuondoa Sintofahamu hizi
  • Kama mtu anatakiwa na vyombo vya sheria basi polisi wapeleke kwake order kwamba tunakuhitaji ili yeye na hata watu wake wa karibu waweze kufika kituoni kwa maelezo.
  • Asipotokea au kufuata ombi hilo la kufika kituoni basi askari hao wanaweza kumfuata bali pia wapite kwa mwenyekiti wa Mtaa
  • Mtu yoyote ambaye wanaweza kumkamata ni yule ambaye inajulikana yupo katika wanted list... (yaani ametafutwa hajapatikana / yupo mafichoni)
Taarifa kama hizi zisambae pote ili kila mwananchi atambue kwamba hakuna mtu mwenye ruksa ya kukushika kwahio akija mtu yoyote kwamba anakushika bila taarifa kutoka polisi kwamba unatafutwa ufahamu kuwa mtu huyu ni Jambazi na ruksa kujilinda au kukataa kwenda...
kama Hana kitambulisho cha police officer bas atakamatwa yey but atakama ni police ndiye nae ajihadharii hawezi kunibeba kaa furushi nawakati selewii Bora tuu nkawe na case mbilii wee iimezidii sasa atakama ndø vyeoo khee
 
Back
Top Bottom