Suluhisho la kufeli form 4 ni hili

Msabaha lk

Member
Joined
Apr 21, 2012
Posts
84
Reaction score
21
Wanajamii kwanza ikumbukwe kuwa nami ni muhanga, kwani iliniuma sana baada ya kumaliza shule, mambo yalikuwa magumu. Nikafikiria hii siyo fair! Haiwezekani nisome 4 years then hukumu iwe masaa 3 tu. Wangeweka utaratibu wa semesta huenda cummulative ingeokoa
 
kwa kauli ya waziri mkuu kufuatia hadidu za rejea kwa kamati , kwamba pamoja na mambo mengine kamati iangalie namna /au ije na mapendekezo nini kafanyika kwa hawa wanafunzi waliopata zero. mimi naona WARURUDIE HUO MTIHANI AU WAPEWE VYETI VYA KUMALIZA KIDATO CHA NNE
 
Sawa lln zero watazipeleka wapi? Wakipewa vyeti? Huo nadhani ni mkakati wa kuhakikisha Jkt panapata wadau ili wawanyooshe ili hii nchi iendelee kutawalika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…