🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣siku nyingine nitajitahidi,Hoja ni nzuri ila umechanganya changanya lugha humo haueleweki namna ya kuchangia inakua ngumu mfano
KUFUMUA MJI MIGHT SEEM COSTLY AT FIRST LAKINI MIMI NDIO NAONA NDIO SULUHISHO LA KUDUMU[emoji15][emoji15]
Rebecca Hebu lete hoja kwa lugha mmoja tu kama kiswahili iwe kiswahili au lugha ya washenzi wa ulaya tukuelewe
Uchaguzi bado miaka 3, mwaka wa 4 vurugu za uchaguzi zinaanza. Kelele za machinga hutasikia tena, zaidi ya CCM kupaaza sauti ya kuwatetea wapiga kura wao. CCM wangewajua machinga, leo wangekuwa wanafanya biashara zao maeneo rasmi. Ni machinga wachache (na wafanya biashara kwa ujumla) wanaopiga kura.Mlezi wa yote Ni ccm tengeneza tatizo tatua tatizo
Asili ya machinga si kukodi eneo, ni watembeza bidhaa. Wakipata mitaji wanahitimu na kuwa wafanya biashara. Hawa wanaotaka kupanga vitu ni wafanya biashara wakwepa kodi, wafate sheria.Sio kimya bado sijakuelewa, wamachinga hawataki kukodi fremu wanataka kuwa mbele ya maduka ya watu sasa ukisema ujenge kwenda juu usitegemee kama kuna chinga ataenda juu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]siku nyingine nitajitahidi,
Unadhani bylaws hakuna? Zipo, na sheria ya nguvu kazi haijafutwa. Tatizo utekelezaji wa sheria nchi hii unakwamishwa na wana siasa.Nikaulize nini?? Ukishabomoa mji na kutenga eneo lao hapo hapo mjini unaintroduce fee ya kutumia hio sehemu ya kufanya biashara, japokua eneo litakua dogo fee yake inatakiwa kuwa kubwa sababu ni mjini. Hii itawatawanya, kwa wasiomudu kuuza mjini watatafuta maeneo mengine,ofcourse this won't work if maeneo mengine muundo mbinu yao haitatengenezwa. So pote panapoonekana Machinga wanasumbua sana ni kuwawekea sehemu hapo hapo ya kuuza kwa kuwajengea strategically hio limited space.
Mwisho ningependa pia kuwe na visheria vidogo vidogo vya kuwazuia wafanyabiashara kufanya biashara kiholela,,,
Izo Kodi watakazotozwa wakiwa kwenye hayo majengo ya biashara Bora watenge masoko pembezoni mwa mj na kama katikati ya mji basi kuwe na mgawanyikoHello JF,
Suala la Machinga kufanya biashara mjini Kariakoo na sehemu nyinginezo limekua ni tatizo la miaka nenda rudi bila ufumbuzi wowote, imekua kero kwa wapita njia na wafanya biashara wengine,,,,,,,
Binafsi sidhani kama kuwafukuza waende sehemu nyingine ni suluhisho, wataenda kwa muda baada ya muda mfupi wanarudi tena,lazima tupate ufumbuzi wa hili tatizo litokomee for good,
In a way nawaelewa haileti maana kupelekwa sehemu ambazo ni ngumu kufanya biashara,,,,
Machinga wasifukuzwe bali napendekeza waachwe kufanya biashara hapo hapo mjini. Kwa vile Kariakoo ni ndogo kuwa accommodate both Machinga na wafanya biashara wengine, na since wote wana struggle for a space, THEN space itafutwe kwa kwenda juu. Namaanisha mji ubomolewe zijengwe ghorofa za biashara, na hii itatoa nafasi kwa wote. Chini/ underground,ama nyuma , juu,hizi ghorofa ziwe ndio sehemu maalumu ya hawa Machinga kufanya biashara zao, Nafasi kwa wote kufanya biashara,, hata nchi nyingine sio kwamba hakuna wafanya biashara ndogo ndogo ni wanatengewa sehemu zao hapo hapo mjini kwenye kitovu cha biashara,
Kufumua mji might seem costly at first lakini mimi ndio naona ndio suluhisho la kudumu,,,
Mnasemaje?
Becky
Hilo jengo hata uwape vizimba bure, hawataingia, wao ni wachuuzi wanao wafuata watu. Ukiwazuia wamachinga kukaa eneo moja ili watawanyike, hawatakufa njaa, itakuwa ni sawa na samaki kumrudisha majini.Dada hao Machinga sikio la kufa hata ufanyaje hawawezi fuata sheria...mfano walijengewa Machinga complex pale ikiwa na ghorofa mbona hawataki kwenda?