Suluhisho la matokeo mabovu ya form four kwa ujumla

Suluhisho la matokeo mabovu ya form four kwa ujumla

broda

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2011
Posts
245
Reaction score
159
Mi nashangaa tume kuundwa kuchunguza the reason why there are massive failures in the NECTA form four, i find it to be a means of using unreasonably the funds of poor tax payers. Haihitaji elimu ya chuo kikuu kujua kuwa kipof hawez kumuongoza kipofu mwenzie. Watu wanasema walimu waongezewe mishahara au sijui nin na wanasahau kua hata wakilipwa milion tano kama ni vilaza ni vilaza tu,mtu anasoma chuo hajifunz kujua vitu ili akafundishe bali anajitahid afaulu tu kwa marks zozote zile kwa sabab tu ajira ni assured. Sa mwalim kama huyu kwel ambae ni kipof wa mambo unatarajia atamfundisha mwanafunz ambae ni kipof ajue nin kama sio ukipof?hata ukimlipa milion tano unadhan pesa itaondoa ujinga na ukilaza wake? Sasa what should be done,
1. walimu wote kabla ya kuajiriwa wapigwe interview kujua ni wepi wanafaa,tena interview iwe oral na written ili hata tukiwalipa pesa nyingi basi tuone valu for money. Angalia mfumo wa kuajiri wa private schools,lazma hata kama umefaulu ni lazma wakuinterview na kuona uwezo wako wa kudeliver.
2. restructure the education system iwe wale wanaoenda ualim ni watu at list wenye division 1,2, n 3 ili kuondokana na zile dhana "kimbilio la waliofel ni ualim",au "kafel, basi mwachen arisit atafute credit za ualim"
3.ondoa siasa katika elimu,wamefel wanafunz eti politicians ndo wanachunguza, acha maprofessor wafanye kaz iyo mana ndo kazi zao izo kuresearch.

ni ushauri tu kwa serikali yangu,i stand for correction,cricism and challenge coz this is a mere display of what my brain thinks about this problem
 
Mi nashangaa tume kuundwa kuchunguza the reason why there are massive failures in the NECTA form four, i find it to be a means of using unreasonably the funds of poor tax payers. Haihitaji elimu ya chuo kikuu kujua kuwa kipof hawez kumuongoza kipofu mwenzie. Watu wanasema walimu waongezewe mishahara au sijui nin na wanasahau kua hata wakilipwa milion tano kama ni vilaza ni vilaza tu,mtu anasoma chuo hajifunz kujua vitu ili akafundishe bali anajitahid afaulu tu kwa marks zozote zile kwa sabab tu ajira ni assured. Sa mwalim kama huyu kwel ambae ni kipof wa mambo unatarajia atamfundisha mwanafunz ambae ni kipof ajue nin kama sio ukipof?hata ukimlipa milion tano unadhan pesa itaondoa ujinga na ukilaza wake? Sasa what should be done,
1. walimu wote kabla ya kuajiriwa wapigwe interview kujua ni wepi wanafaa,tena interview iwe oral na written ili hata tukiwalipa pesa nyingi basi tuone valu for money. Angalia mfumo wa kuajiri wa private schools,lazma hata kama umefaulu ni lazma wakuinterview na kuona uwezo wako wa kudeliver.
2. restructure the education system iwe wale wanaoenda ualim ni watu at list wenye division 1,2, n 3 ili kuondokana na zile dhana "kimbilio la waliofel ni ualim",au "kafel, basi mwachen arisit atafute credit za ualim"
3.ondoa siasa katika elimu,wamefel wanafunz eti politicians ndo wanachunguza, acha maprofessor wafanye kaz iyo mana ndo kazi zao izo kuresearch.

ni ushauri tu kwa serikali yangu,i stand for correction,cricism and challenge coz this is a mere display of what my brain thinks about this problem
Ni sehemu inayochangia kufeli lakini hiyo sio sababu pekee.Mazingira ya private na government schools ni tofauti.Interview haitabadili matokeo.
kuhusu uvilaza wa walimu siwezi kuwa na jibu bcoz sijafanya utafiti,lakini naomba nitoe mfano mmoja hapa chini
Kuna shule moja hapa Dar es salaam kila A moja anayopata mwanafunzi basi mwalimu naye ana fungu lake,kuna walimu kipindi cha matokeo huwa wanavuna zaidi ya milioni 3 nje ya mshahara.Yule wa serikalini hata afaulishe namna gani ataishia kuambiwa shule yake ni mfano bora.
 
Hivi mtu akifeli form four anaweza kurudia form two bila matatizo yoyote
 
ushaur wako ni wa ajabu mno iv umeshawah kufanya utafit kipind wanafunz wanafaulu sana?je walimu wanaowafundisha n wengne au
 
Walimu wanaofundisha shule za Private wanasoma vyuo hivyo hivyo ambapo walimu wenye wanafunzi waliofeli waliposomea. Jwa hiyo tuwape heshima walimu na tutafakari kwa kina sababu za kufeli bila kudhalilisha walimu
 
Sababu moja haijitoshezi ila sidhani kama waalimu ma TZ ni vilaza kama unavyowataja kwani hiol ni tusi,pamoja na hivyo hata kama umefanya utafiti matokeo ya utafiti huwezi kujumuisha waalimu wote. tuachane na haya, nani atamfanyia interview mwalimu wakati hata hao wasimamizi wamepita kwa mwalimu bila shaka nao pia wanahitaji wakaguliwe. Kumbuka hata St FRANCIS ambao DV IV hawajui zinafananaje waalimu wao ni waTZ.
 
Back
Top Bottom