suluhisho la migomo ya wafanyakazi na madereva ipo hapa katika katiba pendekezwa hebu cheki hapa

suluhisho la migomo ya wafanyakazi na madereva ipo hapa katika katiba pendekezwa hebu cheki hapa

singidadodoma

JF-Expert Member
Joined
Nov 11, 2013
Posts
4,394
Reaction score
1,536
Haki ya kufanya
kazi
44.-(1)Kila mtu ana haki kufanyakazi ya kuajiriwa au kujiajiri mwenyewe na kupata ujira unaostahili.

(2)Kila raia ana haki na fursa sawa kushika nafasi yoyote ya kazi, uongozi au shughuli yoyote iliyo chini ya mamlaka yanchi.

Haki za
wafanyakazi na
waajiri

45.-(1)Kilamfanyakazi anahakizifuatazo:
(a)kufanya kazi bila ubaguzi wa aina yoyote;
(b)kupata ujira na malipo halali Kulingana na kiasi na sifa za kazi anayofanya;
(c)kuunda au kujiunga na chama cha wafanyakazi mahali pa kazi;
(d)kushiriki katika shughuli za chama cha wafanyakazi mahala pa kazi’
(e)kupata hifadhi ya afya na usalama wake katika sehemu ya kazi.
(2) Kila mwajiri ana haki ya kujiunga na chama cha waajiri,
shirikisho au mashirikisho ya sekta yake.
(3) Kila chama cha waajiri na wafanyakazi kitakuwa na haki ya:
(a)kuamua kuhusu uongozi, programu na shughuli zake; na
(b)kuanzisha, kujiunga na kusimamia shirikisho lao.
(4) Kila chama cha wafanyakazi kitakuwa na haki ya kufanya majadiliano ya pamoja na mwajiri na kuingia mikataba ya hali bora ya kazi.
(5)Bunge litatunga sheria itakayoweka masharti kuhusu haki za waajiri na wafanyakazi nautaratibu utakaowezesha waajiri na wafanyakazi kutumia haki zao.
 
Sasa hizo haki ziko wapi hawa jamaa wanacheza na fikra za maendeleo ya watanzania


Swissme
 
Kwa Ambao wangependa kutazama matukio halisi.
 
Last edited by a moderator:
Sasa hizo haki ziko wapi hawa jamaa wanacheza na fikra za maendeleo ya watanzania

Swissme

Wakati mwingine Swissme unakurupuka! kwa akili yako yaliyopo kwenye Katiba Inayoprndekezwa hayajaanza kutekelezwa ndiyo maana mchakato wa Katiba hiyo bado unaenedelea. Hakika hukumwelewa Ikungi kwa hoja yake. Soma kwanza usikurupuke wewe.
 
Katiba yenyewe endekezwa ilipendekezwa na ccm tu!mapungufu kibao

Kama huna la kusema ibanezafrica kaendelee na kazi yako nyingine ukatafute mkate wako wa siku ukufae wewe na familia yako. Kwanza Tanzania hakuna "Katiba yenyewe endekezwa". Hiyo ni yako. Tanzania tunayo Katiba Inayopendekezwa ambayo ipo Kisheria kutokana na sheria ya mabadiliko ya Katiba ya 2011. Na kulingana na sheria hiyo, Katiba ni ya wananchi na sii ya chama chochote cha siasa. Acha upotoshaji wako huo.
 
kwahiyo katiba inasema wasiende kusoma kila miaka mitatu na ada isiwe laki tano?

Mkuu uwepo wa sheria na utekelezwaji na practicability ya hio sheria ni mambo mawili tofauti kabisa. Hapa issue ni ukosefu wa ajira na hizi sekta za usafirishaji ambazo ni service oriented kuwa katika mikono ya private sectors/kampuni ndogo ndogo serikali ingekuwa na vyombo vyake vya uhakika (mfano UDA, train n.k. kwanza adha ya usafiri ingepungua watu wangepata ajira na wafanyabiasha kupata competition
 
Haki ya kufanya
kazi
44.-(1)Kila mtu ana haki kufanyakazi ya kuajiriwa au kujiajiri mwenyewe na kupata ujira unaostahili.

(2)Kila raia ana haki na fursa sawa kushika nafasi yoyote ya kazi, uongozi au shughuli yoyote iliyo chini ya mamlaka yanchi.

Haki za
wafanyakazi na
waajiri

45.-(1)Kilamfanyakazi anahakizifuatazo:
(a)kufanya kazi bila ubaguzi wa aina yoyote;
(b)kupata ujira na malipo halali Kulingana na kiasi na sifa za kazi anayofanya;
(c)kuunda au kujiunga na chama cha wafanyakazi mahali pa kazi;
(d)kushiriki katika shughuli za chama cha wafanyakazi mahala pa kazi’
(e)kupata hifadhi ya afya na usalama wake katika sehemu ya kazi.
(2) Kila mwajiri ana haki ya kujiunga na chama cha waajiri,
shirikisho au mashirikisho ya sekta yake.
(3) Kila chama cha waajiri na wafanyakazi kitakuwa na haki ya:
(a)kuamua kuhusu uongozi, programu na shughuli zake; na
(b)kuanzisha, kujiunga na kusimamia shirikisho lao.
(4) Kila chama cha wafanyakazi kitakuwa na haki ya kufanya majadiliano ya pamoja na mwajiri na kuingia mikataba ya hali bora ya kazi.
(5)Bunge litatunga sheria itakayoweka masharti kuhusu haki za waajiri na wafanyakazi nautaratibu utakaowezesha waajiri na wafanyakazi kutumia haki zao.


Sasa katika maelezo yote hapo juu ni kifungu kipi kinatatua mgomo wa madereva?
 
Haki ya kufanya
kazi
44.-(1)Kila mtu ana haki kufanyakazi ya kuajiriwa au kujiajiri mwenyewe na kupata ujira unaostahili.

(2)Kila raia ana haki na fursa sawa kushika nafasi yoyote ya kazi, uongozi au shughuli yoyote iliyo chini ya mamlaka yanchi.

Haki za
wafanyakazi na
waajiri

45.-(1)Kilamfanyakazi anahakizifuatazo:
(a)kufanya kazi bila ubaguzi wa aina yoyote;
(b)kupata ujira na malipo halali Kulingana na kiasi na sifa za kazi anayofanya;
(c)kuunda au kujiunga na chama cha wafanyakazi mahali pa kazi;
(d)kushiriki katika shughuli za chama cha wafanyakazi mahala pa kazi’
(e)kupata hifadhi ya afya na usalama wake katika sehemu ya kazi.
(2) Kila mwajiri ana haki ya kujiunga na chama cha waajiri,
shirikisho au mashirikisho ya sekta yake.
(3) Kila chama cha waajiri na wafanyakazi kitakuwa na haki ya:
(a)kuamua kuhusu uongozi, programu na shughuli zake; na
(b)kuanzisha, kujiunga na kusimamia shirikisho lao.
(4) Kila chama cha wafanyakazi kitakuwa na haki ya kufanya majadiliano ya pamoja na mwajiri na kuingia mikataba ya hali bora ya kazi.
(5)Bunge litatunga sheria itakayoweka masharti kuhusu haki za waajiri na wafanyakazi nautaratibu utakaowezesha waajiri na wafanyakazi kutumia haki zao.
Umejitahidi na wewe kuleta vipengele vya Katiba Inayopendekezwa. Hongera walau kwa kupata muda wa kuisoma. Lilobaki ni kuielewa na kuwaelimisha wengine kisha uipigie kura ya ndiyo wakati ukifika.
 
Sasa katika maelezo yote hapo juu ni kifungu kipi kinatatua mgomo wa madereva?


Asante sana kuku87 kwa swali lako zuri. Kwa kuwa udereva ni kazi na ni haki na ni wajibu wake wa kila siku ambayo inamsaidia kuendesha maisha yake, familia, jamii na taifa kwa ujumla. Kwenye Katiba Inayopendekezwa Sura ya tano, sehemu ya pili (b) Wajibu wa Mamlaka ya Nchi, Ibara ya 65 inayohusu Usimamizi wa haki za binadamu, madereva wanayohaki ya kama raia mwingine (1) Katika kutafsiri masharti ya Sura hii ya Haki za Binadamu, Mahakama au chombo kingine chochote cha kufanya uamuzi kitazingatia mambo yafuatayo: (a) sheria za kimataifa na haki za binadamu; na (b) haki za jamii na maslahi ya jamii kwa ujumla. (2) Mtu anayeamini kuwa masharti yaliyomo katika Sura hii yamekiukwa au yanaelekea kukiukwa na mamlaka, chombo cha uamuzi, sheria au sera yoyote dhidi yake, anaweza kufungua shauri katika Mahakama Kuu kwa hati maalumu ya maombi kwa mujibu wa sheria za nchi ili kupata nafuu inayohitajika.
 
kiukweli sijaona ufafanuzi wa kutosha, hivi ni mpaka mahakama zifafanue haki za wafanyakazi!? Au sheria za kimataifa!? Nasema hivi.. Sio vifungu vya katiba wala wachambuzi, ( kuhusu wafanyakazi) naona bado kuna upungufu. Kwangu hapo katiba 'imekosa' macho..... Nb: Sijaruhusu matusi.
 
Sasa hizo haki ziko wapi hawa jamaa wanacheza na fikra za maendeleo ya watanzania


Swissme

NDugu usipate taabu bure fanya maamuzi sahihi siku ya kupig kura ili uwezeshe utekelezaji wa haki hizo japo unafanya maigizo eti huoni hKi kweli nimeamini akili ni nywele kila mtu ana zake.
 
Back
Top Bottom