Castr
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 35,012
- 70,201
Kuna uzi huu
https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/1458539/
Usibonyeze link kama hauna access na JLW.
Nimelikuta hili swali kule mafichoni, lakini sijaona vyema kujibia kule kwa sababu kwanza mleta uzi ndiyo kwanza namuona kule hivyo inawezekana kabisa hana access ya kule. Lakini nataka tupate maoni ya wengi zaidi.
Mimi sijaoa, nitakachoandika hapa ni masomo ya darasani na field practical tu. Wenye hands on experience wataongeza.
Nitakua naandika kidogo kidogo ili nisiwachoshe maana ni kitu kirefu kidogo.
Baada ya kuoana kuna muda ukifika 'spark' iliyokuepo kati ya mke na mume hupungua au huzima kabisa. Hii hupelekea mawasiliano kua hafifu kati ya wanandoa kisha hupelekea ngono kukosa mvuto kati ya wanandoa.
Kufikia hapa ngono hufanywa kama sehemu tu ya kutimiza wajibu na siyo kama tendo lililosababisha utege kwenda kazini au uwahi kurudi nyumbani. Katika hatua hii ndiyo hutokea kitu kinaitwa 'Sex Rut'.
Ule mguso unapotea, hapa haijalishi unajiamini una utundu kama mcheza porn maarufu kabisa duniani au una mwili mzuri kama the sexiest person you can think of. Ni kwamba nature imechukua nafasi yake na spark kwenu ndiyo imeshakata.
Wanaume wana asilimia kubwa za kuchepuka wakati wowote, mahusiano yawe na furaha yawe na huzuni atachepuka tu. Ila ikifika hapa ndiyo anaweza kuongea na kimada huku mkewe yuko pembeni na haogopi.
Katika kipindi hichi hichi team fisi ndiyo wanatwaa mke wa mtu kiulainiiiiii simply kwakua mwanamke anapenda kusikilizwa (kuonyeshwa anasikilizwa).
Baadhi ya watu wameshafika hatua hiyo wengine ndiyo wanaelekea huko. Kwa ambao hawajafika ngoja tuone kinachopelekea uhamaji wa hisia, kutoka 'Mtu uliyempenda zaidi duniani' mpaka kua 'Hili nalo linanipigia simu linasemaje?? Aaah usumbufu tu'
https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/1458539/
Usibonyeze link kama hauna access na JLW.
Nimelikuta hili swali kule mafichoni, lakini sijaona vyema kujibia kule kwa sababu kwanza mleta uzi ndiyo kwanza namuona kule hivyo inawezekana kabisa hana access ya kule. Lakini nataka tupate maoni ya wengi zaidi.
Mimi sijaoa, nitakachoandika hapa ni masomo ya darasani na field practical tu. Wenye hands on experience wataongeza.
Nitakua naandika kidogo kidogo ili nisiwachoshe maana ni kitu kirefu kidogo.
Baada ya kuoana kuna muda ukifika 'spark' iliyokuepo kati ya mke na mume hupungua au huzima kabisa. Hii hupelekea mawasiliano kua hafifu kati ya wanandoa kisha hupelekea ngono kukosa mvuto kati ya wanandoa.
Kufikia hapa ngono hufanywa kama sehemu tu ya kutimiza wajibu na siyo kama tendo lililosababisha utege kwenda kazini au uwahi kurudi nyumbani. Katika hatua hii ndiyo hutokea kitu kinaitwa 'Sex Rut'.
Ule mguso unapotea, hapa haijalishi unajiamini una utundu kama mcheza porn maarufu kabisa duniani au una mwili mzuri kama the sexiest person you can think of. Ni kwamba nature imechukua nafasi yake na spark kwenu ndiyo imeshakata.
Wanaume wana asilimia kubwa za kuchepuka wakati wowote, mahusiano yawe na furaha yawe na huzuni atachepuka tu. Ila ikifika hapa ndiyo anaweza kuongea na kimada huku mkewe yuko pembeni na haogopi.
Katika kipindi hichi hichi team fisi ndiyo wanatwaa mke wa mtu kiulainiiiiii simply kwakua mwanamke anapenda kusikilizwa (kuonyeshwa anasikilizwa).
Baadhi ya watu wameshafika hatua hiyo wengine ndiyo wanaelekea huko. Kwa ambao hawajafika ngoja tuone kinachopelekea uhamaji wa hisia, kutoka 'Mtu uliyempenda zaidi duniani' mpaka kua 'Hili nalo linanipigia simu linasemaje?? Aaah usumbufu tu'