Habari wadau wa jf.
Mimi ni mgeni hapa mjengoni na hii ni post yangu ya kwanza. Nimefurahishwa na utaratibu wa wadau wa jf wa kupeana mawazo na ushauri katika nyanja mbalimbali za maisha ili kuendeleza gurudumu hili hapa duniani. Mimi nimekua nikiwaandalia watu(business people/academicians etc) business plans/research proposals kwa muda mrefu na wengi wao wamefanikiwa na mifano hai ipo. Kwa kupitia safu hii nikaamua nije na wazo hili tushare kidogo. Naamini kuna watu wana uwezo wa pesa ila wanashindwa au hawajui wazifanyie nini?hawajui watamanage vipi biashara zao wakizifungua. Tofauti kati yangu na writters wengine wengi ni kwamba mimi ninampa mteja wangu wazo la business according to her/his pocket na kumuelekeza how to manage it.
Nina B.A.statistics as well as Diploma in Statistics + business education, with lot of experience in this field and research. Nipo ubungo,0714143040 or fednga@yahoo.com
Naomba kuwakilisha
Mimi ni mgeni hapa mjengoni na hii ni post yangu ya kwanza. Nimefurahishwa na utaratibu wa wadau wa jf wa kupeana mawazo na ushauri katika nyanja mbalimbali za maisha ili kuendeleza gurudumu hili hapa duniani. Mimi nimekua nikiwaandalia watu(business people/academicians etc) business plans/research proposals kwa muda mrefu na wengi wao wamefanikiwa na mifano hai ipo. Kwa kupitia safu hii nikaamua nije na wazo hili tushare kidogo. Naamini kuna watu wana uwezo wa pesa ila wanashindwa au hawajui wazifanyie nini?hawajui watamanage vipi biashara zao wakizifungua. Tofauti kati yangu na writters wengine wengi ni kwamba mimi ninampa mteja wangu wazo la business according to her/his pocket na kumuelekeza how to manage it.
Nina B.A.statistics as well as Diploma in Statistics + business education, with lot of experience in this field and research. Nipo ubungo,0714143040 or fednga@yahoo.com
Naomba kuwakilisha