Wana JF,
Kuna mjadala umetokea sehemu nikaona huenda kuna ufumbuzi humu ndani ya Jukwaa letu. Ni hivi jamaa kachepuka. Akirudi kwa wife kitu kinalala, akienda kwa mchepuko mambo fresh. Hii ni nini? ni ushirikina au ni saikolojia? Hebu tudadavue kuweka mambo fresh. Nini suluhu ya hii kitu?
Choba
Kuna mjadala umetokea sehemu nikaona huenda kuna ufumbuzi humu ndani ya Jukwaa letu. Ni hivi jamaa kachepuka. Akirudi kwa wife kitu kinalala, akienda kwa mchepuko mambo fresh. Hii ni nini? ni ushirikina au ni saikolojia? Hebu tudadavue kuweka mambo fresh. Nini suluhu ya hii kitu?
Choba