Suluhu ya Kenya ni Serikali ya Umoja wa Kitaifa

Sir robby

JF-Expert Member
Joined
Jun 22, 2022
Posts
2,396
Reaction score
4,080
Wadau ili kuepusha Mauaji ya Raia na Upotevu wa Mali zao ni RUTO KUKUBALI Kuunda SERIKALI ya Umoja wa KITAIFA Kinyume chake ILE KESI ya ICC itaanza tena.
 
Wako tayari kuacha ukabila?
 
Wadau ili kuepusha Mauaji ya Raia na Upotevu wa Mali zao ni RUTO KUKUBALI Kuunda SERIKALI ya Umoja wa KITAIFA Kinyume chake ILE KESI ya ICC itaanza tena.
Hakuna mauaji wala mjombake mauaji babu akalee wajukuu. Ruto ajenge nchi hakuna room ya walafi kula keki ya nchi eti serikali ya umoja ni upuuzi mtupu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…