DOKEZO SUMA JKT rudini Kigamboni Ferry hakuna usimamizi mzuri

DOKEZO SUMA JKT rudini Kigamboni Ferry hakuna usimamizi mzuri

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

zunya

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2014
Posts
1,529
Reaction score
1,068
Tangu kampuni ya ulinzi ya SUMA JKT itolewe kufanya kazi Kigamboni Ferry, kumekuwa na usumbufu mkubwa na sina shaka kukosekana kwa mapato kutokana na mfumo mbovu wa hii kampuni binafsi ya ulinzi iliyopewa kazi iyo.

Nmeshuhudia mara kadhaa wakielemewa na kazi za pale, watu hawafuati utaratibu wa kuingia na ku-scan tiketi! Leo asubuhi naamin watu karibia nusu ya waliopanda panton hawaja-scan kadi zao.

Kwa mwendo huu, tutakuja kusikia tu mapato yameshuka na kivuko kimeshindwa kujiendesha kibinafsishwe kwa watu, hapo sasa ndio dhahama itakapoanza, utasikia nauli imepanda toka 200 hafi 1,000 kuvuka! Wasiwasi nayo ni akili babu.

Kwanza hii kampuni sijui hata wameipaje tenda, maana kuna wengine pale hawana hata buti! Dah, nchi ngumu hii!
 
Tangu kampuni ya ulinzi ya SUMA JKT itolewe kufanya kazi Kigamboni Ferry, kumekuwa na usumbufu mkubwa na sina shaka kukosekana kwa mapato kutokana na mfumo mbovu wa hii kampuni binafsi ya ulinzi iliyopewa kazi iyo.

Nmeshuhudia mara kadhaa wakielemewa na kazi za pale, watu hawafuati utaratibu wa kuingia na ku-scan tiketi! Leo asubuhi naamin watu karibia nusu ya waliopanda panton hawaja-scan kadi zao.

Kwa mwendo huu, tutakuja kusikia tu mapato yameshuka na kivuko kimeshindwa kujiendesha kibinafsishwe kwa watu, hapo sasa ndio dhahama itakapoanza, utasikia nauli imepanda toka 200 hafi 1,000 kuvuka! Wasiwasi nayo ni akili babu.

Kwanza hii kampuni sijui hata wameipaje tenda, maana kuna wengine pale hawana hata buti! Dah, nchi ngumu hii!

Sent from my SM-A127F using JamiiForums mobile app

Conflict of interest.
 
Wacha tu kaka, hali imekua mbaya sana ferry hasa mida ya asubuhi na jioni....!! Ni balaaa

Sent from my SM-A127F using JamiiForums mobile app
Tatizo siyo ulinzi,hizo machine zinaelemewa kwenye pick hours asubuhi na Jioni sometimes zinakua very slowly kusoma na kufungua! Kwa hiyo uwongozi ulete machine ambazo ziko faster Kama speed ya 5G!!
 
DP-WORLD wameanza kazi. Suma warudi kwenye mbogamboga
 
Tangu kampuni ya ulinzi ya SUMA JKT itolewe kufanya kazi Kigamboni Ferry, kumekuwa na usumbufu mkubwa na sina shaka kukosekana kwa mapato kutokana na mfumo mbovu wa hii kampuni binafsi ya ulinzi iliyopewa kazi iyo.

Nmeshuhudia mara kadhaa wakielemewa na kazi za pale, watu hawafuati utaratibu wa kuingia na ku-scan tiketi! Leo asubuhi naamin watu karibia nusu ya waliopanda panton hawaja-scan kadi zao.

Kwa mwendo huu, tutakuja kusikia tu mapato yameshuka na kivuko kimeshindwa kujiendesha kibinafsishwe kwa watu, hapo sasa ndio dhahama itakapoanza, utasikia nauli imepanda toka 200 hafi 1,000 kuvuka! Wasiwasi nayo ni akili babu.

Kwanza hii kampuni sijui hata wameipaje tenda, maana kuna wengine pale hawana hata buti! Dah, nchi ngumu hii!
Mkuu kumekuwepo na tatizo la zile mashine kupogeza mtandao hasa nyakati za rush hours jambo ambalo limekua likipelekea msongamano mkubwa sana wa abiria nyakati hizo. Sasa hapa naona anarushiwa lawama askari ambaye ameona hekima kuruhusu watu wapite kuwahi shughuli zao badala ya kupanga misululu mirefu kusubiri kuscan.

Nadhani aliyepaswa kulaumiwa kwa hili ni mtaalam wa mfumo husika wa kuscan, na kama ni hiyo kampuni ya ulinzi basi lawama zielekezwe kwake. Pale kungekua kunatokea vurugu hapo sawa. Lakini mimi niliona ile ni hekima ilitumika kuepusha vurugu na uvunjifu wa amani kwa kuwepo kwa mrundikano wa watu pale wakati wa kuscan kadi
 
Tangu kampuni ya ulinzi ya SUMA JKT itolewe kufanya kazi Kigamboni Ferry, kumekuwa na usumbufu mkubwa na sina shaka kukosekana kwa mapato kutokana na mfumo mbovu wa hii kampuni binafsi ya ulinzi iliyopewa kazi iyo.

Nmeshuhudia mara kadhaa wakielemewa na kazi za pale, watu hawafuati utaratibu wa kuingia na ku-scan tiketi! Leo asubuhi naamin watu karibia nusu ya waliopanda panton hawaja-scan kadi zao.

Kwa mwendo huu, tutakuja kusikia tu mapato yameshuka na kivuko kimeshindwa kujiendesha kibinafsishwe kwa watu, hapo sasa ndio dhahama itakapoanza, utasikia nauli imepanda toka 200 hafi 1,000 kuvuka! Wasiwasi nayo ni akili babu.

Kwanza hii kampuni sijui hata wameipaje tenda, maana kuna wengine pale hawana hata buti! Dah, nchi ngumu hii!
Hii nchi hii, kusimamia kivuko tu ni shida,
Kwanini hizi, huduma zisibinafsishwe tu, tangaza tender, watu wafanye biashara, kama kwenda Zenj kutoka Dar, ni watu binafsi wana fanya, kwanini hapo kigamboni isiwe watu binafsi?
Huu upuuzi wa kungangania vitu vifanywe na Serikali l, unatuletea shida, TTCL tumeshindwa, air Tanzania tumeshindwa, tbl tulishindwa, tukaiuza sasa hv inapiga kazi swaafi,
 
Hii nchi hii, kusimamia kivuko tu ni shida,
Kwanini hizi, huduma zisibinafsishwe tu, tangaza tender, watu wafanye biashara, kama kwenda Zenj kutoka Dar, ni watu binafsi wana fanya, kwanini hapo kigamboni isiwe watu binafsi?
Huu upuuzi wa kungangania vitu vifanywe na Serikali l, unatuletea shida, TTCL tumeshindwa, air Tanzania tumeshindwa, tbl tulishindwa, tukaiuza sasa hv inapiga kazi swaafi,
ile ni huduma sio biashara, ila kuka kigamboni ni taabu sana, imagine unaingia kwa pesa unatoka kwa pesa
 
Lazima mleta maada atakua ni suma JKT ambao nao walijisahau sana pale ferry hadi nikajua tu hawa hawana muda mrefu nao wataondolewa tu!!
sina interest ya kua mlinzi!!
 
Mkuu kumekuwepo na tatizo la zile mashine kupogeza mtandao hasa nyakati za rush hours jambo ambalo limekua likipelekea msongamano mkubwa sana wa abiria nyakati hizo. Sasa hapa naona anarushiwa lawama askari ambaye ameona hekima kuruhusu watu wapite kuwahi shughuli zao badala ya kupanga misululu mirefu kusubiri kuscan.

Nadhani aliyepaswa kulaumiwa kwa hili ni mtaalam wa mfumo husika wa kuscan, na kama ni hiyo kampuni ya ulinzi basi lawama zielekezwe kwake. Pale kungekua kunatokea vurugu hapo sawa. Lakini mimi niliona ile ni hekima ilitumika kuepusha vurugu na uvunjifu wa amani kwa kuwepo kwa mrundikano wa watu pale wakati wa kuscan kadi
Sasa isiposcan si ndio wanapita bure! Hekima hiyo ya kupoteza mapato kila siku rush hours nayo unaionaje?
 
Back
Top Bottom