Hiyo ni Tort mnaweza kufungua madai kwa pamoja au individual na unalipwa vizuri tu ikithibitika ajali ilisababishwa kwa uzembe sema watanzania wengi hawajui haki zao na serikali haifanyi bidii kuwaelimisha cz wataua sector kwa claims na sector hizo ndo walipa kodi kwa serikali
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.