SUMATRA muwe mnawapa madereva na makondakta elimu ya huduma kwa wateja

Hakuna anayejali

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2023
Posts
418
Reaction score
526
Madareva na makondakta wengi hawana customer care kwa abiria yani si unapoingia kwenye gari wal inapoharibika wanakaa kimya tu wakati wanatakiwa kumwambia abiria samahani gari imeharibika lakini tunafanya jitihada za matengenezo ili tuendelee na safari.

Wao wanakaa kimya tu abiria ndiyo wajiongeze hawaelezi kama gari utakuja kuhaulisha hivyo tu.

SUMATRA haki za abiria na nafikiria mpo hapa naomba mje kutoa ufafanuzi.
 
SUMATRA na magari tangu lini?

Au unamaanisha LATRA?

Tumia gari lako, kwenye usafiri wa aina hio utalalamika hadi mwisho wa maisha yako.
 
Mbona hujui kuandika vizuri?
Shida nini?
 
Sema hii nch tunawalaumu sana serikali,
Mwenye kazi ya kutoa elimu ya huduma kwa wateja ni mwenye chombo cha usafiri sio Latra hata,

Ila hii nchi tuna masters ya kuilaumu serikali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…