SUMATRA na Traffic Police

Faana

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2011
Posts
38,657
Reaction score
44,759
Naomba kuwauliza swali, mnapoingia kwenye mabasi na kufanya ukaguzi huwa mpo serious au mnafanya maonyesho tu!

Picha hii hapa ni ya moja ya viti vya bus la Nyehunge kutoka Mwanza - Morogoro

Vngi ya viti vimenyofoka na mingi ya mikanda ya usalama nayo ni kama inavyoonekana
 
Hizi nchi za dunia ya3 ni mpaka madhara yatokee ndio tunatafuta utatuzi mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app

Umeona Mkuu, kila siku askari wapo mbele ya kamera wakijifanya wako kwenye ukaguzi, je ni ukaguzi gani wanafanya kama si kujipambanua tu
 
Hao jamaa wapo serious kwenye kuandikia tiketi madereva wa vipaso na ist huku mjini wakivuka zebra au hata akipita na gari imewasha mziki mkubwa..... Mabwege kweli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…