SUMATRA Tanga, hili la Kichangani limekaaje?

SUMATRA Tanga, hili la Kichangani limekaaje?

dudulayuyu

New Member
Joined
Sep 20, 2021
Posts
4
Reaction score
14
Daladala za Kichangani zinatoza nauli 1000 ilihali mlangoni pameandikwa 600 ,mwanafunzi anatozwa mia nne 400 ilihali mlangoni ni 200.

Daladala zimeanzisha route ya kichangani mzimu hodi bila kibali mwanafunzi akipanda daladala kutoka mjini gari zikifika kichangani wanafunzi wanaambiwa waongeze 200 nyingine ili wafikishwe makwao na watu wazima waongeze 400, je nauli hii imepangwa na Sumatra au wameamua wenyewe?

Tangu lini mwanafunzi akalipa 400 kwenye daladala? naomba mlifatilie hili Sumatra
 
Daladala za kichangani zinatoza nauli 1000 ilihali mlangoni pameandikwa 600 ,mwanafunzi anatozwa mia nne 400 ilihali mlangoni ni 200 , daladala zimeanzisha route ya kichangani mzimu hodi bila kibali mwanafunzi akipanda daladala kutoka mjini gari zikifika kichangani wanafunzi wanaambiwa waongeze 200 nyingine ili wafikishwe makwao na watu wazima waongeze 400,je nauli hii imepangwa na Sumatra au wameamua wenyewe? Tangu lini mwanafunzi akalipa 400 kwenye daladala? naomba mlifatilie hili Sumatra
Sasa ndo umeandika nini? Umesema ukifika kichangani unalipa 600 ukitaka kufikishwa nyumbani unaongeza 400, sasa tatizo liko wapi? Wewe Lipa 600 shuka kichangani, chukua bodada akupeleke nyumbani kwa 1000.
 
Sasa ndo umeandika nini? Umesema ukifika kichangani unalipa 600 ukitaka kufikishwa nyumbani unaongeza 400, sasa tatizo liko wapi? Wewe Lipa 600 shuka kichangani, chukua bodaboda akupeleke nyumbani kwa 1000.
 
Back
Top Bottom