Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Zaidi ya yote Kama,hawana Sera alifuata Nini kwao?Na pia aliondoka bila kulazimishwa Kama amarudi aliko sema nyumbani ni vyema.Ila asitamani kurudi siku moja.Kama aliemteua PM miaka 10 alimtusi hadharani kuwa ni Lofa sasa sisi tusemeje ? Huruma tu zero brain huyooo
Kama ni zero brain, wale aliokuwanao kwenye Kamati Kuu ya Chadema unawaitaje?Kama aliemteua PM miaka 10 alimtusi hadharani kuwa ni Lofa sasa sisi tusemeje ? Huruma tu zero brain huyooo
Hata wewe mgeni wako, unamkaribisha kwa ukarimu Kama mwenyeji,ila matendo take yatafanya ukarimu wako kwake ubadilike ,kulingana na tabia yake.Kama ni zero brain, wale aliokuwanao kwenye Kamati Kuu ya Chadema unawaitaje?
Panya akitaka jina hujipitisha kwa watu, Enzi Zake alikuwa akiitwa ZERO huyu Kali miss jina Hilo labda.Kama aliemteua PM miaka 10 alimtusi hadharani kuwa ni Lofa sasa sisi tusemeje ? Huruma tu zero brain huyooo
Mafuta hayawezi kuchangamana na maji.Kama ni zero brain, wale aliokuwanao kwenye Kamati Kuu ya Chadema unawaitaje?
Ana elimu gani uyo mzee
Kuonzwa na sumaye kwa miaka 10, nimeamini tanzania tunaweza kuongozwa na CHAUMA kwa miaka 40.Na John Walter - Hydom, Mbulu
Waziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Frederick Sumaye amesema vyama vya Upinzani nchini haviwezi kuongoza nchi kwa sababu hawana sera.
Ameyasema hayo Leo Septemba 30,2020 akizungumza na wananchi wa Jimbo la Mbulu Vijijini katika mkutano wa Mgombea mwenza Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kunadi Sera za Chama cha Mapinduzi katika viwanja Vya Haydom.
Sumaye amesema Chama alichotoka CHADEMA, ni Chama cha Uanaharakati na hakina sera zozote za kuwasaidia wananchi.
"CHADEMA wanafikiri kuwa nchi ya Tanzania bado ipo mikononi mwa Wakoloni, wanapiga kelele utafikiri bado tunatawaliwa" alisema Sumaye
"Nilienda kule lakini baada ya kugundua hawana chochote nikaamua kurejea nyumbani" alisisitiza Sumaye. Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Manyara Simon Lulu amesema Chama hicho kinajiandaa kwa ushindi wa kishindo kwa sababu kimefanya maendeleo kwa wananchi.
Amemweleza Mgombea Mwenza kiti cha Urais Tanzania Samia Suluhu Hassan kwamba katika Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 28 mwaka huu, Upinzani mkoani hapo hawataambulia hata kiti cha Udiwani.
My take:
Huyu mzee atakuwa amepitwa na wakati hivi wanazotangaza CHADEMA kwenye mikutano yao siyo sera hizo? Kama yeye zero brain ukiweza kukaa ofisi ya waziri mkuu kwa miaka 10 kwa nini CHADEMA washindwe kuongoza nchi? Ndiyo maana mzee wa Lupaso alimwita "Lofa na Mpumbavu"
Sio yule aliyewekwa ndani na Amsterdam?Huyo ni mmoja kati ya wanasiasa malaya malaya aliowasema mwl. Nyerere 🤔🤔
Amsterdam ndio sumaye mkuu? Maana hapa tunazungumzia wanasiasa malayamalaya km sumaye aliowasema Mwl NyerereSio yule aliyewekwa ndani na Amsterdam?
MAGUFULI4LIFE.