Uchaguzi 2020 Sumaye aichokonoa CHADEMA. Asema Vyama vya Upinzani haviwezi kuongoza nchi kwa sababu hawana sera

Akafie mbali hukoooo

Ni baba mpumbavu pekee kama stone anayeweza kusifiwa kwa kumnunulia mkewe Iphone X lakini aliacha mwanae akafa kwa kukosa laki moja ya matibabu. Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ibara ya 8[1](a) inasema "Lengo kuu la serikali litakuwa ni ustawi wa (wananchi) WATU sio ustawi wa VITU. Asomaye na afahamu.!
 
Kama aliemteua PM miaka 10 alimtusi hadharani kuwa ni Lofa sasa sisi tusemeje ? Huruma tu zero brain huyooo
Zaidi ya yote Kama,hawana Sera alifuata Nini kwao?Na pia aliondoka bila kulazimishwa Kama amarudi aliko sema nyumbani ni vyema.Ila asitamani kurudi siku moja.
 
Kama ni zero brain, wale aliokuwanao kwenye Kamati Kuu ya Chadema unawaitaje?
Hata wewe mgeni wako, unamkaribisha kwa ukarimu Kama mwenyeji,ila matendo take yatafanya ukarimu wako kwake ubadilike ,kulingana na tabia yake.
 
Kama aliemteua PM miaka 10 alimtusi hadharani kuwa ni Lofa sasa sisi tusemeje ? Huruma tu zero brain huyooo
Panya akitaka jina hujipitisha kwa watu, Enzi Zake alikuwa akiitwa ZERO huyu Kali miss jina Hilo labda.
 
Muulizeni alikuwa wapi kabla hajarudia uanachama wake wa mapinduzi?

Kutanga tanga ni dalili ya kupungukiwa imani na kutokuwa hakika mahala ulipo

Hata matarajio ya kesho hawezi kufunuliwa yeye aliye mzururaji
 
Kusema rais kachukua heka laki mbili kagera nayo ni sera? Tafuteni sera semeni chadema itafanya nini kama ikipewa mamlaka ya uongozi na sio kuongelea personals.
 
Mentally freshman ameshindwa kutengeneza legacy akiwa kwa wakati wake amebaki kurukaruka kama maharage ya Mbeya ambayo hayaivi mpaka yasuguliwe.
 
Huyu alienda upinzani kama jasusi alitumwa na kama mnakumbuka siku waliyoitwa wastaafu wote ikulu akaropoka sasa sijui alijisahau kuwa yeye kuwa upinzani ni kwa manufaa ya CCM baada ya hapo jamaa wakamshutukia ndio maana wakamdhalilisha katika uchaguzi wa Pwani wakamuacha kuingia bila mpinzani lakini akapigiwa No vote kushindwa na kivuli chake pale ikawa mzee kaumbuka vibaya sana ikawa hana budi arudi nyumbani maana ujasusi kashindwa na hataweza kupeleka info zozote kule. Chadema intelligence yao inakuwa ndani ya chama na nje miaka ya nyuma walikuwa wanaenda na hamasa tu wanabeba tu wamekuwa makini ndio maana mwaka huu tunaona wanatoa upinzani.
 
Kuonzwa na sumaye kwa miaka 10, nimeamini tanzania tunaweza kuongozwa na CHAUMA kwa miaka 40.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…