Sumaye atoa siri

  • Thread starter Thread starter MegaPyne
  • Start date Start date
Kuhusu kushtushwa that is simply an understatement, Sumaye alitaka kujikojolea!

Kama unaweza kupata mkanda wa jinsi alivyokaa katika kiti unaweza kuelewa, jibaba lilikaa katika kiti kidogo lakini lilijifinyanga kwenye kona moja kama mtoto wa shule anayemsubiri mwalimu mkuu.

Hizi habari za kukataa ni porojo za fake humility ya wanasiasa tu.
 
Huyu Bwana tunamjua,Ben alimjua...ila nilitegemea kwa kipindi alichokaa nje ya siasa,labda 'kungembadilisha kidogo!!'lakini hamna chochote amejaa habari nyepesiX2 tuuu!!
**Anakiri kuwa wabunge walikuwa ni changamoto kwake,ktk miaka5 ya mwanzo ya uwaziri mkuu Mishahara na marupuX2 ya wabunge ndilo tatizo kuu lililomsibu na kama basi Ben angemwepushia miaka mingine5 iliyo msababishia 'chuki' kutoka kwa 'waheshimiwa wabunge',huenda leo hii angekuwa Mkuu wa nchi,je angeiweza nchi kweli huyu??labda kwa mtazamo wake; NCHI=(A 'happy' Cabinet + 'happy' MPs)period!!
 
Mijitu kama hii isiyojiamini hulazimishwa ili ipate kutumiwa,sasa huyu unafikiri angeweza kumshauri Mkapa asifanye biashara pale Ikulu ,tena kama haitoshi ndio inayotumika kuiua Nchi ,hivi ungetegemea mtu kama huyu apelekewe waraka wa ulaji wa Mkapa atie saini angeliweza kukataa ,maana akiambiwa ni mradi wa mzee basi hapo anakenua na kuanza kutoa shikamoo hata mkapa mwenyewe hayupo.
 
Niliwahi kusikia stories mbali mbali za enzi za Mwalimu alipokuwa anawaita Ikulu ili kuwapa taarifa watu mbali mbali aliowateua katika kazi mbali mbali za serikali wengi walikuwa wakienda Ikulu roho zikiwa juu juu wakiwa na wasiwasi wameshavurunda nini tena. Na joto la Dar wengine walikuwa wanalowa mpaka suruali kwa wasiwasi na wengine hawakusita kuanza kujitetea pamoja na kuwa hawajui kosa walilotenda. Story nyingine zilikuwa zinatoka midomoni mwa wahusika walioteuliwa kwa kweli nyini zilikuwa zinanivunja mbavu.
 
Alichaguliwa kwa ajili ya udhaifu wake, five year down the line hakuwa amefanya lolote akaogopa nakujua atatemwa lakini watu wana akili zao, wakampa tena ili wale, for 10 years aliyoukwa waziri mkuu sikuona chochote, ni kama kulikuwa hakuna waziri mkuu...

Huyu jamaa fake kweli kweli eti alikataa uwaziri mkuu, mbona alikuwa kifua mbele anakimbilia urais juzi tuu hapa, na ninajua hajachoka bado atagombea urais tena, hawa jamaa wanatupiga mchanga wa macho, they are all the same
.

NCHI ITAJENGWA NA WENYE MOYO NA KULIWA NA WENYE MENO.

iM OUT
 

Siku zote watu wanasema mke ndie anayejua udhafu wa mume kwa undani... sasa hapa oneni wenyewe... hata mama watoto alishamwona hafai ndio maana kitu cha kwanza alimhoji... usikute umekubali... kwi kwi kwi... hee hee kweli hapa ametoa siri ... hii ilitakiwa ibaki kuwa siri yake na mkewe
 
sababu za kitoto
 



Plagiarism you have to acknowledge the source i.e http://www.freemedia.co.tz/daima/2008/7/29/habari1.php
 
Mtu aliyekataa kuwa PM akisema hataweza, ilikuwaje akafikiri ataweza kuwa rais?

Kuwa Rais ni easy kuliko kuwa Waziri mkuu, kwani wewe huoni JK anayofanya ni kusafiri tu lakini Pinda anafeel the heat zaidi
 

Inawezekana una ukweli na unayosema. Lakini let us use our brains and ask ourselves, which choice was better between Sumaye and Lowassa?. Inawezekana wote ni wabaya lakini yupi alikuwa na afadhari kwa Tanzania. AMbaye alionekana kama hayupo na mabaye alionekana kuwa yupo kwelikweli.
 
sababu za kitoto

Mkuu Gembe mkeo asipoku-endorse nani tena??? Weye huoni alisema ugomvi ulizuka? Wajua huku Afrika ambako mfumo dume bado umetawala twafikiri wake zetu hawana mawazo ya kuweza kutusaidia. Hushangai kwanini anasema ugomvi ulizuka yakhe??????????
 
Sumaye kabla ya kuwa waziri mkuu, alikuwa ni mtu wa kawaida tu.

Alikuwa ni naibu waziri wa kilimo na hakuwa amepiga kitabu sana zaidi ya kuwa na diploma ya kilimo.

Sasa alivyokuwa akiishi kwa kutokuwa na makundi, upole na tabia yake ya ukimya, akaonekana (kwa mtazamo wa Mkapa na washauri wake) kwamba angefaa kuwa kiongozi wa shughuli za serikali bungeni.

Lakini hold on, hawa watu wawili Mkapa na Sumaye waliishi jirani sana kiasi cha kuweza kukutana ama Palm Beach au Leaders Club.

Kwa hio pia tunaweza kusema kwamba kulikuwa na pre-planned sketch ya nani atakuwa nani na kadhalika.

Tatizo kwa upande wa Sumaye, kwamba alipoona mlango wa opportunity umefunguliwa ndio akachanganyikiwa kwa kuona kila kitu amazing na kujisahau kuongoza serikali bungeni na hivyo kila kitu kwenda mtindo wa business-business pale magogoni.

Na ndio matokeo yake majority ya walliokuwa ndani ya serikali ya Mkapa wameula.

Sumaye eti nae anataka kufanya spinning, alaa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…