Katika gazeti la NIPASHE la leo Sumaye ameandika makala yake iliyowekwa katika uk.7 , ijayo sema kuwa tatizo si katiba, bali ni kasi ya mabadiliko, amekiri Kuwa makamu wa Rais hana kazi na hata anapata umakamu huo bila Jasho! Endeleza kuisoma hapa chini.....
Katika gazeti la NIPASHE la leo Sumaye ameandika makala yake iliyowekwa katika uk.7 , ijayo sema kuwa tatizo si katiba, bali ni kasi ya mabadiliko, amekiri Kuwa makamu wa Rais hana kazi na hata anapata umakamu huo bila Jasho! Endeleza kuisoma hapa chini.....
This time you trying to say things you should do before when you was PM. You were part of government and you did nothing at all. Tema mate chini mwambie mungu akusamehe. Watanzania mnachanganywa na watu ambao tayari mlishaona utendajikazi wa vipindi vyao. Mimi naona sumaye ni bora akatulia na kuacha propaganda za kuwalagai wanyonge! !Katika gazeti la NIPASHE la leo Sumaye ameandika makala yake iliyowekwa katika uk.7 , ijayo sema kuwa tatizo si katiba, bali ni kasi ya mabadiliko, amekiri Kuwa makamu wa Rais hana kazi na hata anapata umakamu huo bila Jasho! Endeleza kuisoma hapa chini.....
Kama ulivyo fikiri jana mpaka leo hakuna mabadiliko hata kidogo jiulize nini tatizo.hata kama yuko sahihi lakini kuna kitu anakitafuta,why now?
Sijawahi muunga mkono sumaye ila simuungi mkono kwa yote aliyosema ninachomuunga mkono ni kuwa tatizo sio katiba nchi nyingi tu duniani hazina katiba kabisa ikiwemo uingereza haijawahi kuwa na katiba ya nchi lakini imeendelea bila katiba kwa hili namwuuunga mkono sumaye tatizo si katiba. Bravo sumaye kwa hili you are a Great thinkerKatika gazeti la NIPASHE la leo Sumaye ameandika makala yake iliyowekwa katika uk.7 , ijayo sema kuwa tatizo si katiba, bali ni kasi ya mabadiliko, amekiri Kuwa makamu wa Rais hana kazi na hata anapata umakamu huo bila Jasho! Endeleza kuisoma hapa chini.....