Elections 2010 Sumbawanga wachakachua matokeo

samoz

Member
Joined
Nov 2, 2010
Posts
32
Reaction score
1
Nchi ,hii matokeo wanatangaza saa 7 usiku wakati kwenye vituo Peoples pawa wanaongoza!!! Aibu hiyo .ila ipo siku watanzania watataka haki zao wasichakachuliwe kura zao!
 
Duh!kwa nini wapiganaji walilala wakati mapambano bado yalikuwa yanaendelea?Si tulishakubaliana hakuna kulala mbaka kieleke!!!
 
kwani imekuaje huko mkuu tupe mkanda with data plz!
 
Ndio hivyo .....sehemu ambazo watu sio imara ,lazima upigwe bao !!CCM imejifanya kama ni Chama kilichojihanikiza na serikali na mbinu zake !ina kila kitu jeshi ,inteligensia,polisi wote wanaipa support ma kuisadia ! Huo ni ujinga wanaaibisha taaluma zao! Shiiit
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…