Ndio hivyo .....sehemu ambazo watu sio imara ,lazima upigwe bao !!CCM imejifanya kama ni Chama kilichojihanikiza na serikali na mbinu zake !ina kila kitu jeshi ,inteligensia,polisi wote wanaipa support ma kuisadia ! Huo ni ujinga wanaaibisha taaluma zao! Shiiit