Summer Breeze BBQ in Chicago

Summer Breeze BBQ in Chicago

Geeque

JF-Expert Member
Joined
Aug 17, 2007
Posts
936
Reaction score
319
Karibuni Wote Hii Saturday 23rd of May (Memorial Weekend) ndani ya Chicago kwenye BBQ ya nguvu na Dance Party. Kama una swali lolote usisite kuwasiliana nami.

2009summer%20BreezeBBQ640.jpg
 

Attachments

  • 2009 Summer Breeze BBQ.jpg
    2009 Summer Breeze BBQ.jpg
    250.3 KB · Views: 90
Last edited:
Sasa bana mazee mbona unatoa mwaliko dakika za mwisho? Yaani mida hii hata ticket za greyhound ni zoezi...
 
Sasa bana mazee mbona unatoa mwaliko dakika za mwisho? Yaani mida hii hata ticket za greyhound ni zoezi...

Actually Quemu Memorial Weekend ya mwaka huu ndio the cheapest kusafiri kutokana na airlines nyingi kushusha bei zao sababu ya matatizo ya uchumi ambaoyo yamesababisha watu wengi kupunguza kusafiri. Yaani ukichukua zile packages za Hotel+Air+Car Rental ni so cheap. Karibia Karibia Mazee.
 
Acha ubahiri wewe...au Labor Ready wiki hii hawana day waka?

Hawa jamaa wamenipeleka kwenye cafeteria ya kajicollege nikaoshe vyombo wiki hii. Masaa yenyewe machache (4 kwa siku) halafu eti wananilambisha $5.50 kwa saa. Uncle Sam nae anakinga mkono (bila hata aibu) hapo hapo. Sasa greyhound itapandika kweli??

Halafu isitoshe hii mitoto ya college inafanya ndalilo...kila dakika inasogeza mivyombo. Hawana adabu kabisa...natamani wangejua jinsi ninavyoheshimika kjijini kwetu.
 
Actually Quemu Memorial Weekend ya mwaka huu ndio the cheapest kusafiri kutokana na airlines nyingi kushusha bei zao sababu ya matatizo ya uchumi ambaoyo yamesababisha watu wengi kupunguza kusafiri. Yaani ukichukua zile packages za Hotel+Air+Car Rental ni so cheap. Karibia Karibia Mazee.

Pouwa nitacheki.

Duh lakini visa nayo ni zoezi lingine. Ngoja niwasiliane na ubalozi sasa hivi....naweza nikai-fluke...lol
 
Hawa jamaa wamenipeleka kwenye cafeteria ya kajicollege nikaoshe vyombo wiki hii. Masaa yenyewe machache (4 kwa siku) halafu eti wananilambisha $5.50 kwa saa. Uncle Sam nae anakinga mkono (bila hata aibu) hapo hapo. Sasa greyhound itapandika kweli??

Halafu isitoshe hii mitoto ya college inafanya ndalilo...kila dakika inasogeza mivyombo. Hawana adabu kabisa...natamani wangejua jinsi ninavyoheshimika kjijini kwetu.

Hahah uko kwenu hakuna minimum wage nini? Fanya fanya usogee mpaka ATL alafu tutaendesha mpaka uko juu(joking).
 
Hawa jamaa wamenipeleka kwenye cafeteria ya kajicollege nikaoshe vyombo wiki hii. Masaa yenyewe machache (4 kwa siku) halafu eti wananilambisha $5.50 kwa saa. Uncle Sam nae anakinga mkono (bila hata aibu) hapo hapo. Sasa greyhound itapandika kweli??

Kima cha chini si kiliongezwa? Sasa inakuwaje Labor Ready wanakulalia hivyo?
 
Pouwa nitacheki.

Duh lakini visa nayo ni zoezi lingine. Ngoja niwasiliane na ubalozi sasa hivi....naweza nikai-fluke...lol

Mimi nilidhani Visa unajigongea tu Mazee, chonga muhuri bandia halafu mambo iwe mswano.
 
Hahah uko kwenu hakuna minimum wage nini? Fanya fanya usogee mpaka ATL alafu tutaendesha mpaka uko juu(joking).

Tatizo nikifika ATL naweza kuishia Quincy (hivi hii joint bado ipo?)
 
Mimi nilidhani Visa unajigongea tu Mazee, chonga muhuri bandia halafu mambo iwe mswano.

Haaaa sio rahisi. Tena siku mambo ndo yamekuwa magumu kweli. Inabidi visa ipite ngazi tatu kabla muhuri haujagongwa - mama mkwe, mama watoto, na princess. Mmoja wao akikunja sura tu...nimekwisha...lol
 
Haaaa sio rahisi. Tena siku mambo ndo yamekuwa magumu kweli. Inabidi visa ipite ngazi tatu kabla muhuri haujagongwa - mama mkwe, mama watoto, na princess. Mmoja wao akikunja sura tu...nimekwisha...lol

duh kazi unayo Mazee hapo ni kizingiti juu ya kizingiti labda ujifanye una semina endelevu kama za Kikwete.
 
Mara ya mwisho kutia timu ilikuwa lini?

ATL au Quincy? Mara ya mwisho kuja ATL ilikuwa kama mwaka uliopita hivi. Quincy nilienda mara ya mwisho baada ya kui-renovate na kuipanua kuwa kubwa. Kabla "wanaija" hawajaipiga kibiriti kuvuta insurance (rumor had it). Lakini nilisikia kuwa waliitengenza tena...
 
ATL au Quincy? Mara ya mwisho kuja ATL ilikuwa kama mwaka uliopita hivi. Quincy nilienda mara ya mwisho baada ya kui-renovate na kuipanua kuwa kubwa. Kabla "wanaija" hawajaipiga kibiriti kuvuta insurance (rumor had it). Lakini nilisikia kuwa waliitengenza tena...

Una maanisha Queens? pale muulize NN mzee wa zipompa pompa ndio atakuwa anajua status yake.
 
Back
Top Bottom