Sumsang A13 ukiachaji inakupa yellow triangle.

Sumsang A13 ukiachaji inakupa yellow triangle.

Mtili wandu

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2012
Posts
8,257
Reaction score
11,499
Simu tajwa nikiichaji inaleta Alama ya pembe tatu rangi ya njano. Sijui tatizo nini? Kuna vitu vyangu kibao nataka kuhamisha msaada wajuzi. Na chaji haingizi.
 
Simu tajwa nikiichaji inaleta Alama ya pembe tatu rangi ya njano. Sijui tatizo nini? Kuna vitu vyangu kibao nataka kuhamisha msaada wajuzi. Na chaji haingizi.
Skrinishoti
 
Hiyo ni temperature ipo juu inaweza kuwa ni tatizo la hardware
 
Screenshot_20250126-092724.png
 
tatizo litakuwa betri simu ni samsung ila ww umeweka betri la tecno au brand nyingine za wachina wa kariakoo..au chaji yako inatoa umeme mdogo kuliko mah za betri ni kubwa..tafuta chaji kubwa kuanzia output 5 V= 2.0 A
 
tatizo litakuwa betri simu ni samsung ila ww umeweka betri la tecno au brand nyingine za wachina wa kariakoo..au chaji yako inatoa umeme mdogo kuliko mah za betri ni kubwa..tafuta chaji kubwa kuanzia output 5 V= 2.0 A
Hapo kwenye betting inawezekana maana nolipeleka kwa fundi labda kaibadili.
 
Back
Top Bottom