Lady Whistledown
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 1,147
- 2,008
Kenya imeanzisha mpango wa kutumia sumu kuua Kunguru Milioni moja katika Miji ya Watamu na Malindi, ili kuzuia wasisambae Jijini Nairobi
Kunguru wamekuwa wakishambulia Wanyamapori, kuvamia maeneo ya Watalii, na kuvamia na kushambulia kuku katika Mashamba yao
Inaaminika Kunguru waliletwa kwa makusudi Afrika Mashariki Miaka ya 1890 katika juhudi za kukabiliana na tatizo la taka Visiwani Zanzibar
Mamlaka zimeanzisha Kampeni za kuua Kunguru maarufu "Kunguru Wa India" Milioni moja kwa kutumia sumu katika Miji ya Watamu na Malindi ili kuzuia wasisambae na kuvamia Jijini Nairobi
Ni kutokana na Usumbufu na Uharibifu mkubwa wa Ndege hao wanaotajwa kuwa miongoni mwa Ndege waharibifu zaidi duniani.
Kwa mara ya kwanza Kunguru walionekana katika Bandari ya Mombasa mwaka 1947 na tangu wakati huo, idadi yao imeongezeka sana, kutokana na ongezeko la idadi ya watu na taka, ambazo zinatoa Mazingira bora kwa ndege hawa kula na kuzaana
.......
Kenya rolls out poison in bid to cull a million crows
Invasive alien birds" sounds like the strapline to a scary Hollywood blockbuster but for the people of coastal Kenya it is not a matter of fiction.
The authorities there are so worried about the nuisance created by Indian house crows that they have begun the process of culling a million of them.
They have not targeted humans, as in the Alfred Hitchock horror film The Birds, but these ones have for decades caused widespread disruption, by preying on wildlife, raiding tourist areas and attacking poultry farms.
Poison is now being used in the towns of Watamu and Malindi to kill the first tranche of the ruthless sub-species.
This ambitious poisoning campaign is aimed at halting the crows’ advance towards the capital, Nairobi.
The birds, known on the coast as "kunguru" or "kurabu", originated from India and other parts of Asia, often spreading elsewhere by travelling on trading ships.
But they are believed to have been intentionally introduced in East Africa around 1890s in a bid to tackle a mounting waste problem on the Zanzibar archipelago, then a British protectorate.
From there, they spread to the mainland and up the coast to Kenya.
The Indian house crows feed mostly on meat
They were first recorded in the port of Mombasa in 1947 and since then, their numbers have exploded, thanks to the growing human population and the accompanying mounds of rubbish, which provide an ideal environment for the birds to feed and breed. They also have no natural predators.
The Indian house crows, considered one of the world’s most invasive and destructive birds, have continued their northward journey.
Source: BBC
Kunguru wamekuwa wakishambulia Wanyamapori, kuvamia maeneo ya Watalii, na kuvamia na kushambulia kuku katika Mashamba yao
Inaaminika Kunguru waliletwa kwa makusudi Afrika Mashariki Miaka ya 1890 katika juhudi za kukabiliana na tatizo la taka Visiwani Zanzibar
Mamlaka zimeanzisha Kampeni za kuua Kunguru maarufu "Kunguru Wa India" Milioni moja kwa kutumia sumu katika Miji ya Watamu na Malindi ili kuzuia wasisambae na kuvamia Jijini Nairobi
Ni kutokana na Usumbufu na Uharibifu mkubwa wa Ndege hao wanaotajwa kuwa miongoni mwa Ndege waharibifu zaidi duniani.
Kwa mara ya kwanza Kunguru walionekana katika Bandari ya Mombasa mwaka 1947 na tangu wakati huo, idadi yao imeongezeka sana, kutokana na ongezeko la idadi ya watu na taka, ambazo zinatoa Mazingira bora kwa ndege hawa kula na kuzaana
.......
Kenya rolls out poison in bid to cull a million crows
Invasive alien birds" sounds like the strapline to a scary Hollywood blockbuster but for the people of coastal Kenya it is not a matter of fiction.
The authorities there are so worried about the nuisance created by Indian house crows that they have begun the process of culling a million of them.
They have not targeted humans, as in the Alfred Hitchock horror film The Birds, but these ones have for decades caused widespread disruption, by preying on wildlife, raiding tourist areas and attacking poultry farms.
Poison is now being used in the towns of Watamu and Malindi to kill the first tranche of the ruthless sub-species.
This ambitious poisoning campaign is aimed at halting the crows’ advance towards the capital, Nairobi.
The birds, known on the coast as "kunguru" or "kurabu", originated from India and other parts of Asia, often spreading elsewhere by travelling on trading ships.
But they are believed to have been intentionally introduced in East Africa around 1890s in a bid to tackle a mounting waste problem on the Zanzibar archipelago, then a British protectorate.
From there, they spread to the mainland and up the coast to Kenya.
The Indian house crows feed mostly on meat
They were first recorded in the port of Mombasa in 1947 and since then, their numbers have exploded, thanks to the growing human population and the accompanying mounds of rubbish, which provide an ideal environment for the birds to feed and breed. They also have no natural predators.
The Indian house crows, considered one of the world’s most invasive and destructive birds, have continued their northward journey.
Source: BBC