Sumu ya mwanamke ni mwanamke mwenzie

mmmmmh wanaume bhana kila siku mnaleta vituko vipya
 
Kwahiyo we ukimwambia hivo mkeo atakuchekea?

wewe dada mbishi sana, wewe jaribu halafu utaona moto wake, ila ninchojua hatakuchekea bali atanuna kwa muda halafu maisha yanaendelea kama kawa, hebu gusa wewe uone utakavyoungua.
 
rejea story ya mtoa mada! Ninacho maanisha kiafrika talaka inatolewa na mwanaume tu. Mwanamke huwa anaomba kuachwa na siyo kuandika talaka.

Hujawahi ona wanaume wanaachwa, zubeda lake linatupwa kule
analia kama kafiwa?
 
Hujawahi ona wanaume wanaachwa, zubeda lake linatupwa kule
analia kama kafiwa?

kweli huwa inatokea, jaribu kufatilia nani huwa anaumia zaidi baada ya hapo. Najua wanawake huwa mnalipuka halafu mnanywea=kuufyata.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…