gmail mkulima
Senior Member
- Jun 11, 2017
- 186
- 114
Wakuu bado nafanya utafiti wa kufungua kiwanda cha alizeti naomba wenye uzoefu na hii biashara waendelee kunisaidia. Sehemu ambazo nahitaji kujua zaidi
1 gunia moja ya debe sita mashudu ni kiasi gani.
2 mashudu debe moja ni sh ngapi bei ya jumla.
3 mafuta yaliopo sa hvi sokoni yanaotengenezwa na wajasiriamali wadogo ni refined?
4 leseni na tbs ni sh ngapi
Sent using Jamii Forums mobile app
1 gunia moja ya debe sita mashudu ni kiasi gani.
2 mashudu debe moja ni sh ngapi bei ya jumla.
3 mafuta yaliopo sa hvi sokoni yanaotengenezwa na wajasiriamali wadogo ni refined?
4 leseni na tbs ni sh ngapi
Sent using Jamii Forums mobile app