Sungura sizitaki mbichi hizi!nani anakumbuka shairi hili????

Sungura sizitaki mbichi hizi!nani anakumbuka shairi hili????

Matope

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2009
Posts
892
Reaction score
683
Sungura akarukaruka, lakini hakufikia
Akachoka na mkia, matunda kuyarukia.
sungura akalilia ,sungura nakuambia.
yakamtoka machozi,sungura akalilia,
naona nafanya kazi,bila faida kujua,
sizitaki mbichi hizi,sungura akagumia.
Haya anaekumbuka ubeti mwingine anakaribishwa!!!
 
Back
Top Bottom