Sungura akarukaruka, lakini hakufikia
Akachoka na mkia, matunda kuyarukia.
sungura akalilia ,sungura nakuambia.
yakamtoka machozi,sungura akalilia,
naona nafanya kazi,bila faida kujua,
sizitaki mbichi hizi,sungura akagumia.
Haya anaekumbuka ubeti mwingine anakaribishwa!!!