Super Gro kwenye nyanya

Super Gro kwenye nyanya

Hapo nilitumia kwenye Mahindi, sikuweka mbolea
 

Attachments

  • received_1575683059189494.jpeg
    received_1575683059189494.jpeg
    52.7 KB · Views: 31
Mentor wangu alitumia kwenye nyanya, matokeo ni kama hayo!
 

Attachments

  • received_1925110231081881.jpeg
    received_1925110231081881.jpeg
    68.6 KB · Views: 33
Kuna picha nashindwa kuzi upload, nilitumia pia kwenye chainizi, kwa uzoefu wangu Mdogo, ni product nzuri tu, unatumia kwa kila zao. Iwe ni matunda egg maembe, mapapai, nafaka au mboga mboga
 
hilo ndyo tatizo kutumia picha za google badala ya uhalisia
Pole, hizo nyanya nilitumiwa picha na mentor,Mahindi nilimtumia picha nimeidownload upya messenger, so imekuwa rahisi kui upload from downloads, chainizi sijawahi share na mtu picha, nimeshindwa mamma ya kuibandika hapa. Sijazoea kufake, am too real
 
Pole, hizo nyanya nilitumiwa picha na mentor,Mahindi nilimtumia picha nimeidownload upya messenger, so imekuwa rahisi kui upload from downloads, chainizi sijawahi share na mtu picha, nimeshindwa mamma ya kuibandika hapa. Sijazoea kufake, am too real
inapendza ulete picha zako halisi ndgu ili tujilidhishe mfano mm nalima maharage na karangaa , inanifaa?
 
inapendza ulete picha zako halisi ndgu ili tujilidhishe mfano mm nalima maharage na karangaa , inanifaa?
Huelewi kipi? Mahindi ni yangu, nililima 2017, haya nielekeze kuweka image, ili niweke chainizi pia. Nafikiri hapo juu nimeandika nimekwama wapi. Kama hujaelewa wengine wanisaidie kukuelewesha.
 
Huelewi kipi? Mahindi ni yangu, nililima 2017, haya nielekeze kuweka image, ili niweke chainizi pia. Nafikiri hapo juu nimeandika nimekwama wapi. Kama hujaelewa wengine wanisaidie kukuelewesha.
Mkuu nimekuelewa
 
Mkuu nimekuelewa
Imebidi nimtumie mtu kwenye messenger then nidownload, ili nitume maana siamimiki.
Hizi chainizi nililima kwangu mwaka huu, sikuweka Mbolea yoyote zaidi ya super grow
 

Attachments

  • received_457014955235796.jpeg
    received_457014955235796.jpeg
    110.9 KB · Views: 30
Asante kwa jitihada vp mbolea hyo kwenye karanga na maharage na vp ww unalimia wapi mimi niko mkoa wa Pwani
Imebidi nimtumie mtu kwenye messenger then nidownload, ili nitume maana siamimiki.
Hizi chainizi nililima kwangu mwaka huu, sikuweka Mbolea yoyote zaidi ya super grow
 
Asante kwa jitihada vp mbolea hyo kwenye karanga na maharage na vp ww unalimia wapi mimi niko mkoa wa Pwani
Nimesema hakuna zao linalo kataa super grow. Nililima kwa miaka 2, nikaacha. Niko busy kidogo so nakosa muda Wa kusimamia.
 
Asante kwa kushare nasi nitafanyia kazi
[/QUOT
Nilifundishwa kulowekea kwenye mbegu kabla ya kupanda for 48 hrs, ila unakuwa unageuza kila baada ya massa sita unageuza (ila nafikiri itategemea mama kuna mvua maana ukiloweka half ardhi ikawa kavu ni mtihani mwingine!)
 
Back
Top Bottom