Super shafti imechemsha, NIFANYEJE?!

Mara nyingi ni pschological problems
ama kisukari
obese
BP
magonjwa ya zanaa!!!!
sasa check afya yako. akama uko fit, then JIM isicheze mbali, halafu mwandani wako awe na manjonja ya kukuliwaza na kuvutia I mean seducing you hapo nina uhakika utafaulu. na kama ni pschological basi muone mtalaam wa counselling
 
Inasikitisha sana kama unatumia dawa au kilevi ili upate nguvu za kiume!
Ushauri namba 38 na namba 50 ni muhimu uufuate ntakwambia kwanini!

Kama hauna magonjwa yanayo weza sababisa uishiwe nguvu za kiume,basi zingatia hayo!,yaani:-
1.Zingatia chakula unacho kula,kisiwe ni chakula cha kukujaza mafuta mwilini,hii sio kwako tu ila kwa kila mwanaume au mtu anae jali afya yake.
2.Fanya mazoezi ya kegel,kama ulivo elekezwa namba 50 hapo juu
3.Fanya mazoezi ya viungo,kimbia,mazoezi ya kubana pumzi pia
4.Ukizingatia hayo hapo juu,utakua rijali wa kutisha!

Experience:
Nilikua na hali hii:
Nilikua niki muandaa mwenzangu nakojoa hata kabla ya kuingia,
au nikiingia ni sekunde "SEKUNDE" chache sana,nakua nimekojoa!
Akinichezea uume ndo kaua kabisaaaa,nakojoa mapema na siwezi tena kusimama na ndo siku imeisha hivo!

Why:?
Nilikua najichua sana (kwa mtazamo wa wengine hii sio sababu),
Ila amini,kujichua kulisababisha nipungukiwe nguvu sana,nilifanya hivo mda wote nilio kua shule kuepuka ngono!

Nilifanya nini:
Nili muona docta Paul Nelson,anapatikana Redio free africa,sikumbuki ni siku gani ila hua ni kipindi kinaitw usiku wa mahaba,
Alinielekeza mazoezi ya kegel,nilikua mwaminifu sana katika kuyafanya!

To make a story short,...
siku hizi,mimi ndo naamua goli la kwanza liingie baada ya mda gani,la pili nianze mda gani na nimalize mda gani !
(hii sio kegel peke yake,mazoezi ya viungo pia yana saidia,sijaacha kegel hadi leo)

ACHANA NA MADAWA MKUU,UNA JIUA KABISAAA
 

Hapo kwenye nyekundu ndipo palipo na tiba ya uhakika. Nina ndugu yangu alifanya hivyo mara tatu kutwa kwa miezi kadhaa. Sasa akiona gauni tu damu inaenda mbio na mzee ndani "hapatoshi".
 
Msaada hapo mazoezi ya kegel ndiyo yapi?
 
Cupid na Erector hazipatikan mkubwa, hakuna dawa nyingine itakayonisaidia?

Ebu nenda kapate CIALIS TADAFAL, kunywa kidonge kimoja tu alafu nenda kapige mzigo, kama ni tatizo la kawaida hautakunywa kidonge kingine tena,tatizo kwishee.
 
Tafuta daktari mwingine kwa ushauri zaidi, pia jaribu na supu ya pweza.....lol...

Katavi hii supu ya pweza kiboko nimewahi kufululiza mwezi mzima nakunywa, si mchezo kule kwenye winchi unaweza kufunga mzigo wa kilo tatu ukaubeba kwa nusu saa bila kuchoka, hii supu siitaki tena unaweza kufanya mauaji bila kukusudia.
 
pole mkuu! Sometimes konyagi inasaidia sana! Mimi ninayoexperience frm my b.f! Nakuhakikishia kwa hilo!
tehtehe.. no comment

Katavi hii supu ya pweza kiboko nimewahi kufululiza mwezi mzima nakunywa, si mchezo kule kwenye winchi unaweza kufunga mzigo wa kilo tatu ukaubeba kwa nusu saa bila kuchoka, hii supu siitaki tena unaweza kufanya mauaji bila kukusudia.

mkuu hii supu noma kuna baadhi inawakubali wengine inawakataa... mimi binafsi sina tatizo lakini nikistua redbull dah! na erect kiasi kwamba hadi nasikia maumivu yaani mashine inakaa silencer wakati wa pumziko haizimi.. hadi kero.. nimeacha kutumia redbull
 
pole sana mkuu..ungekua maeneo ya kule kwetu Tarime kuna dawa ina itwa amari ga bana..hiyo ni kikombe kimoja tu ukipiga mashine inasimama pima na ugali wa ulezi ukila siku 3 mfululizo unafanya kazi kama robot mkeo anaweza kukukimbia tena..
 
Tumia biowater au maji hai yaliyotengenezwa kwa kutumia biodisc. Bio disc inapatikana kutoka kampuni ya QNET. Angalia web site; QNet | Direct Selling - Home pia soma Amezcua. Nitumie private contacts zako ili nikuelezee zaidi. Nina watu wamekaa miaka 2-3 hawafanyi kazi kabisa wanakula kwa macho. Sasa hivi wanatisha kwa shughuli mzee.
UNIQUE
 
Tumia maji hai yaani bio water yaliyotengenezwa na kifaa cha kisayansi kinaitwa bio disc. Hapo mzee heshima nyumbani itarudi bila shaka maana tumewapa wengi na wanacheka sasa hivi. tembelea www.qnet.net ya kampuni halafu Amezcua utasoma bioproducts za hiyo kampuni. Achana na mizizi utahangaika sana. Unatakiwa unitafute binafsi siyo kwa hii forum. UNIQUE
 
TEMBELEA: Amezcua Utapata maelezo ya kifaa cha kisayansi toka ujerumani kinatumika kutengeneza biowater au maji hai unywe. Hilo ni tatizo dogo kama kuumwa mafua. Pia utahitaji maelezo ya ziada kutoka kwangu. Nitafute siyo kuwasiliana kwenye hii forum.
UNIQUE
 
Kama uko dar nenda manzese tip top kuna pharmacy moja karibu na lunch time hotel ulizia dawa inaitwa enzoy, hii ni mwisho wa matatizo. Ni pakiti ya gramu 10, ya unga, unamimina pakiti yote kwenye glasi yenye maji halafu unakoroga vizuri mpaka ichanganyike. Ukiridhika kuwa imechanganyika, kunywa. TAHADHARI:Unapokunywa hakikisha 'mjumbe' yuko karibu kwa ajili ya kikao, maana inaanza kuchanganya baada ya dk 40 tangu kuinywa. Haina madhara kwani inatokana na mti ambao botanic name yake ni withania somnofera. Kwa matokeo mazuri zaidi usinywe bia. Ukipenda Waweza kunywa kinywaji kikali kidogo mf. valuu au brandy.
 

jarbu kifaru
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…