Superbowl XLVI (2012)

Aisee Titchaz hebu mfungulie NN kwa leo tu......unaona jukwaa limeduwaa na mambo yameiva
 
Haya nitajitahidi Rubani, lakini usikose kuangalia mchezo huu wa leo ambao unaaanza baada ya saa moja na hakika kama 18 hivi

Niko hapa kwenye Ustream najaribu kufuatilia.... 🙂
 
Reactions: BAK
Ngoja tuwafundishe kazi hawa wakulima............Go Giants Goo!
 
Omega Psi Phi yuko wapi leo........lol
 
hooo............hooooo ............hoooo
 
Aisee the Giants wanaweka pressure kwa Tom Brady but I remain optimistic Pats will be the champion today.
 
Beautiful touch down just before half time. Pats will return highly motivated and kick some Gman ass.
 
duuuhh........aiseee...........wee Oxlade wee ulisema kweli jamaa wana-fumble sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…